chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,118
..kuna waliooana mbali. wakasema ni Dikiteta UCHWARA. Akakasairika (akijua siyo uchwara ila ni KAMILI).....Sasa TWAYAONA yaliyoonywa na Ngurumo, Mbwambo, Lissu na wengine....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka [HASHTAG]#HapaKazi[/HASHTAG] tu hadi [HASHTAG]#HapaRisasi[/HASHTAG] tu.Kutoka vita dhidi ya Ufisadi hadi Operesheni Safisha Mafisadi.
Kutoka Nguvu ya Hoja hadi Hoja ya Nguvu tu.Kutoka [HASHTAG]#HapaKazi[/HASHTAG] tu hadi [HASHTAG]#HapaRisasi[/HASHTAG] tu.
Wewe kilaza upo??Ndo mashabiki wa Chadomo
acheni ubaguzi wa kisenge,una uhakika hakuns Wachagga waliompigia kura Magufuli....hizo mbegu za chuki mnapanda ukifika muda wa kuzivuna msije kataaWe ni nani? Katika watanzania 44million tukiondoa baadhi ya Wachaga?
Kama neno baadhi limekushinda kutafasiri basi "wewe ni choo tuu kama lowassa". Dr. Slaaacheni ubaguzi wa kisenge,una uhakika hakuns Wachagga waliompigia kura Magufuli....hizo mbegu za chuki mnapanda ukifika muda wa kuzivuna msije kataa
yaani huu utawala siku zake zinahesabikaTulisema hapa mwaka 2015 kuwa na vijana wengi wasio na ajira ni bomu linalosubiri kulipuka. CCM walipojipa ushindi magu akaanza kupunguza ajira badala ya kuongeza. CCM mpambane na hali mliyoitengeneza, vijana sasa wanataka mabadiliko kwa gharama yoyote bila woga.
Toa takataka hapa,huna maanaTuache unafiki ukweli mchungu kuna nguvu kubwa mnoo ipo kwenye mitandao kumpromote kinafiki ila ukweli mnaujua.
Utawala wa jpm ni la kuvunda halina ubani hata ukoshe na udi na mafusho lishavunda tu
Utawala wa magufuli hausafishiki wala haukogeki
Mnaofagilia mioyoni mwenu najua hamumpendi ukweli ndo huo
Ccm msijifariji 90% ya wanaccm hawampendi magu wanajilazimisha sana
Tanzania ya viwanda imeyeyuka kama barafu katika jua kali jee magufuli ana jipya gani??
Yai likishavisa limevisa tu halirudi kuwa yai zima
Awamu ya kiki maonyesho na movie hivi zile ndege zetu za canada zimeishia wapi??
Magufuli huyu aliyekua anasifiwa kwa jina la buldozer africa nzima leo hii ndaru zote zimeisha
Wananchi wamekuchoka baba ujitafakari ulikosea wapi
Ama kweli "LA KUVUNDA HALINA UBANI"