Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kama manenoyako ni kweli tusubiri 2020 panapo majaaliwa.kwa Mimi nionavyo JPM hana mpinzani, ila kwenye mitandao blabla haziishi.
magu nimbabe atapita kibabe, ila bila kuwa wanafki magufuli hana upepo mzuri sanaaa maana ukipita katika kikund cha watu 10 basi 2 wanamfaglia 8 wanalalmika either uchumi mgumu au utawala wakimabavu. ....2020 haitomaanisha chochte ila ukweli walio wengi wanahaha sana na huu utawala
 
Naona mnachukua vtu vdogo tu ilu kutoa hitimsho pa uongoz mbaya,sjui yale mazur mnayaona ama hamuyaon???? Kila kitu mathalan maswala ya uongoz kuna uimara wake na udhaifu wake katka shabaha ya maendeleo.Msiendeshwe na itikad zenu wakuu
 
Naona mnachukua vtu vdogo tu ilu kutoa hitimsho pa uongoz mbaya,sjui yale mazur mnayaona ama hamuyaon???? Kila kitu mathalan maswala ya uongoz kuna uimara wake na udhaifu wake katka shabaha ya maendeleo.Msiendeshwe na itikad zenu wakuu

Mazuri yapi hayo?!
 
Kama neno baadhi limekushinda kutafasiri basi "wewe ni choo tuu kama lowassa". Dr. Slaa
Vyema,kwa nn hilo neno baadhi hukulitumia kwa naadhi ya Watanzania na badala yake ukaenda specifically jwa Wachagga...achana tabia za kuzimu ww!
 
Tangu Mei 2016, mpaka leo 2018 mkuu mi sijui anatupeleka wapi.

Anayejua rais Magufuli anatupeleka wapi watanzania aje atuambie..
 
Wasaalam, wana jamvi naomba mwenye kujua anijuze nini sera ya serikali ya wanyonge ya ccm? Maana nimetafakari ile sera ya viwanda naona ipo Kama haipo, maana huwezi kuongelea viwanda Tanzania ukaacha kuongealea taasisi Kama SIDO na VETA. Nasema hivyo kwa sababu cjaona juhudi za serikali katika kuimarisha taasisi hizo.

Kikubwa ninachoona sasa kwa serikali hii sikivu ya wanyonge ya ccm ni utawala usiozingatia Sheria na mifumo yake yaani Katiba ya jamhuri ya muungano ya mwaka 1977 Kama ilivyofanyiwa marekebisho Mara kwa mara. Serikali hii kipaumbele chake ni kupambana na chadema na kuhakikisha uhuru wa kujieleza kwa raia wake unafutiliwa mbali na yeyote mwenye mawazo tofauti na mwenyekiti wa ccm anashughulikiwa ikiwemo kupotezwa.

Wote tu mashahidi awamu hii nchi inaongozwa Kwa mawazo ya mtu mmoja, mtu huyo kaliweka bunge letu mfuko wa kulia wa koti na mahakama kaiweka mfuko wa kushoto wa koti.

Swali langu ni je hiki ndicho kipaumbele cha ccm Kwa awamu hii? Au ccm nayo imewekwa mfukoni?

Haki huinua taifa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…