Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Unaposema hakuna vipaumbele unamaanisha nini? Huwez kufanya jambo bila vipaumbele. Labda ungesema Rais anatilia mkazo vipaumbele fulani na kuacha vingine. Na kwamba ana follower wengi mi siamini. Maana am sure Magu ana followers wachache na majority wanamchukia sana na hilo ye mwenyewe analijua.

Tatizo ni kuwa tulizoea utawala wa mfumo tofauti na wa sasa. Tukubaliane tu na hali, miaka 10 siyo mingi. Na ndipo tutaprove kama ni kweli tulikuwa static or we were moving.
 
Nani kasema tunataka stiglers gorge wakati natumia masaa 3 kutoka Masaki kwenda Uwanja wa Ndege? Aah
 
Mimi nemependa tu ulivyomalizia...

.......JESUS HAD ONLY TWELVE!

nawatakia jjumapili njema[emoji120] [emoji56]
 
Nani kakwambia unga umebanwa? Watu wanakula unga kitaani kama kawaida.
 
suala la lugumi hadi sasa waziri Lugola analishugulikia,1.5 rais kaliongelea jinsi watu wanavyopotosha au uko nje ya dunia,halafu usinipangie mifano ya kutoa.Bora kusiwe na demokrasia kuliko kuwa na wapinga maendeleo kwa mgongo wa demokrasia.
 
Sijui nimewahi? Ngoja nisubirie hapa [emoji144] [emoji144]
 
Nyumba imara ujengwa na msingi imara, dalili ya mvua ni mawingu
 
Baada ya mambo yote ayo kufanyika, mbona bado unaendelea kukaa kwa shemeji? Utahama lini?
 
Nani kasema tunataka stiglers gorge wakati natumia masaa 3 kutoka Masaki kwenda Uwanja wa Ndege? Aah
Heri yako unatumia masaa matatu,vipi wa malori wanaokaa siku Mbili kutaka kuvuka BODA ya Tunduma Zambia yenye chain hadi kilometres 30.Maendeleo sio dar tu wakumbuke na sehemu zingine, wapanue barabara ile
 
Avatar yako tu inaonesha we sio raia wa nchi hii...
Oohoo poor girl of Afrika haujawahi kuona watanzania wenye muonekano wa kiindi,kizungu au kichina?kuna tofauti kubwa kati ya mwafrika/mtanzania na mtu mweusi,ndio maana australia kuna watu weusi(Aborigines) kuliko wewe pia India kuna wahindi weusi lakini wote hao sio watanzania au waafrika.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa kumbe umetuandikia upupu wako hapo juu uliosimuliwa tu na Shemeji yako!
mkuu unaishi karne ya ngapi?hujui kuwa kuna watu wako marekani wanaijua tz kuliko mtanzania? labda nikuulize baada ya usa ni nchi gani yenye uchumi unaokua sana duniani? mimi sikurupuki kuandika.
 
suala la lugumi hadi sasa waziri Lugola analishugulikia,1.5 rais kaliongelea jinsi watu wanavyopotosha au uko nje ya dunia,halafu usinipangie mifano ya kutoa.Bora kusiwe na demokrasia kuliko kuwa na wapinga maendeleo kwa mgongo wa demokrasia.
maendeleo yapi unayo ongelea ya vitu ama watu.

yaani utoe mifano ambayo haiendani bado nikubali (huko lumumba ndo mmefunzwa ivo) huku nje tumefunzwa kuhoji.

hakuna maendeleo yoyote (ya watu) yaliyo onekama ila kwa maendeleo ya vitu visivyo na msada anajitahidi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…