Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
MANENO kuntu walahi!
Kitu kikubwa kwa vijana ni kuacha kabisa kuishi kwa mazoea!
Mimi nina machimbo ya mawe na niko na wachina, yaani ndugu yangu sikufichi, mimi mwenye mali na na contractors wa kichina tunaamka saa 11 asubuhi!
Vijana waajiriwa ni kukaa na kunywa pombe usiku mzima, asubuhi wako hoi, focus zero.
Alafu hao hao ndio wanalalamika!
Waache uvivu wa fikra na kila kitu chao kitanyooka tu!
Shida iko kwenye ku focus na responsibilities!
That’s all!
 
Kwa hiyo unataka upige,eeh.
 
Mzee msoga hana shida aliyajua haya alizidiwa kete Na machinga ndo mwenye kubeba lawama zote Na madhila wayapatayo wanyonge.Msoga atalaumiwa Kwa kutokujeshimu makubaliano yao na mzee waiti ea, dhiki kuu na ukame usingekuwepo,mvua ingenyesha nyakati zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tu
tulikipenda wenyewe....hakutuachia. wewe pambana na hali yako na mimi nipambane vikari naloo
 
Watu wanataka tija ukali hata simba anao.China hakuna achezeaye hela za umma,kule democracy ipo kuna maamuzi ya wanachama na sio maamuzi ya MTU mmoja ndo Sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitume fanya kazi acha kulalamika unataka maisha mepesi? Subiri baba yako akiwa Rais utaletewa kila kitu nyumbani. Unamuhusisha Rais Kikwete na uvivu wako wa fikra? Wenzio tunaponda kokoto na maisha yanaenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
We endelea kuponda tu kokoto, sijui unamuuzia nani wakati maduka ya vifaa vya Ujenzi yanafungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ni wakati muafaka wa kujiuliza kama Mtanzania umeifanyia nini Tanzania , Sio vinginevyo ukishahoji nafsi yako ukaridhika ndipo utakapotambua umuhimu wa mchango wako kwenye nchi hii hautegemei ni nani yuko pale juu ila wewe kama wewe, umefanyia nini Nchi hii kwa uwezo wako . Vinginevyo tutabaki tu watu wa kulaumu tu miaka inaenda . Tujitambue
 
Huyu mtu tumepewa na Mungu sio Kikwete. Kwa uweza wa Mungu was Mbinguni ndoto za kuhamishia makao makuu Dodoma imetimia. ATC imefufuliwa. Reli ya kisasa ndiyo inajengwa. Mradi was umeme nchi nzima ndio hivyo umeanza. Mungu ni mkuu mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…