silver_back
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 833
- 813
Uzi wako uko ICU.Hii ni kutokana kwa kuchezea hela za walipa kodi hovyo hovyo . Pia uwezo wake mdogo wa kiutawala. Pia chuki wivu husda majigambo nyodo. Pia kugawanya watanzania kikanda na kikabila. Pia wizi wa matrillioni. Pia kuudondosha uchumi maksudi nakufanya hali ya watanzsnia wengi kuwa ya ufukara ilhali yeye na genge lake wachache wakifaidi keki ya taifa. Pia kunyanganya mke wa mtu
ISIS johnthebaptist thetallest
Hahahaha ngoja mods waamke kama uzi huu utaendelea kuwa haihahhahahahaha ngoja nicoment fast kabla m0ds hawajaja kuharisha hapa !NIMEKUELEWA SANA MTOA MADA!my ribs
Tena ngoja niwatag faster walahi!Hahahaha ngoja mods waamke kama uzi huu utaendelea kuwa hai
Hahahaha nyie hamna hata aibu, vifo msababishe nyinyi halafu muanze kutakia R.I.P marehemu?!
Nipo naimalisha Chama. Tuepuke na njiweulipotelea wapi mkuu
Anaongela yeye na tuwatu kiduchu wasio jaa kiganjani eti ndio wananchi, pathetic DNA walahiWewe ndo wananchi au
Wananchi ni wale wanaohoji ujenzi wa uwanja wa ndege chato ili hali hospital hazina dawa, ni wananchi ni wale wanaoshangaa pesa za umma kuchukuliwa Hazina kienyeji kutumika kuwanunua wabunge, madiwani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa ili hali jamii imekawa na changamoto kibao, kuna 10% kwenye ununuzi wa ndege, ujenzi wa reli na miladi mikubwa yote huko ndipo wananchi husimama kunung’unikaWewe ndo wananchi au
ukieditiwa kidogo utakuwa haiUzi wako uko ICU.
am a major pain in ur@$$Anaongela yeye na tuwatu kiduchu wasio jaa kiganjani eti ndio wananchi, pathetic DNA walahi
Una akili kama jemedari wako mbowe. Unadhani zilitakiwa tochi uzijuazo wewe kumulika.Eti Chato airport na madlimulaina ndo kipaumbele cha wanyonge,
Tumeshindwa kwasha spotlight kuokoa wahahanga wa ajali.
Jeshi LA navy halina vifaa vya uokoaji Galina boat, halina helicopter, halina divers
Kabisa, humu jf ni rais wa term moja.
Kwa amaniKwa nn apumzike