Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Magufuli toa Majeshi yetu Kongo, hakuna tunachokifanya huko. Vijana wanapigwa na baridi na kung'atwa na mbuu bure.
Ngoja nikwambie kitu kiongozi,wewe hujaenda Kongo, mimi nimeenda.
Adui yetu mkubwa Kongo ni Kagame.
Uliwahi kusikia habari ya wanajeshi wa Tanzania waliokufa Goma kwa bomu. Uliza kidogo tena uende ndani kidogo.
Rwanda inajivunia nini?
Madini yake inachimba wapi?
Kagame hata kaa aache kuwafuatilia wa 'hutu' ambao anahisi wanajipanga dhidi wake Kongo.
Hata kaa aache kuiba Kongo maana kwake Kongo ni kila kitu.
Kwetu Rwanda si lolote japo angalau ni chochote.
Rwanda ni ndogo Kongo ni kubwa.
Kongo tunalipwa na UN, Rwanda haitupi kitu.
Rwanda haina mahusiano mazuri na majirani zake wote.
Nimeenda Rwanda, Rwanda hamna kitu!
Mkuu, ukishikana na Kagame uondoe vijana wetu Kongo.
 
Rwanda inampa maujanja Mkulu.
Bila maombi na kuombewa na kupewa maujanja ya hapa na pale na nchi ya demokrasia kama Rwanda na mwanademokrasia Kagame Mkulu atapata wakati mgumu. Bila maujanja atawezaje kuwatumbua wadanganyika?
Rwanda ndio kila kitu kwa sasa.

Link Raisi Magufuli: UJANJA HUU NILIPEWA NA RAFIKI YANGU, KAKA YANGU PAUL KAGAME

Utafute waraka wa Mtikila.
 
Mkuu Nonda, basi hatuna haja ya kuwachanganya vijana wetu kwenye uwanja wa vita.
Nyumbani wanaona mkuu akipokea zawadi ya ng'ombe na kunywa juice na adui wanaepowa morali kukabilana nae uwanjani.
 
Mkuu Nonda, basi hatuna haja ya kuwachanganya vijana wetu kwenye uwanja wa vita.
Nyumbani wanaona mkuu akipokea zawadi ya ng'ombe na kunywa juice na adui wanaepowa morali kukabilana nae uwanjani.
Vijana wanaenda huko kufunzwa ukakamavu. Ni kama wanapelekwa mazoezini tu. Tanzania ina wadanganyika milioni 45, je ni vijana wangapi wako huko?
kwenye post #29 umesema UN wanalipa.
Kama UN wanalipa hiyo ni biashara nzuri. Vijana wamepata ajira. Serikali inatengeneza ajira kwa vijana.
 

Mkuu na bado alisema tutalimia meno
 
Maendeleo hayaji kwa ushabiki wa vijiweni. Jifunze mchakato ambao China ilipitia kufika hapo ilipo. Walioseme mchumia juani hulia kivulini si wajinga. Tanzania ndio kwanza imeanza safari ya kutoka utumwani Misri. Na ili kufika nchi ya ahadi ni lazima tuvuke jangwa kwanza. Sasa ninyi mnaotamani kurejea Misri kwa kuhofu jangwa poleni sana. Fanya kazi uishi, kwani imeandikwa asiyefanya kazi na asile!
 
Nyerere, kweli wanasema mchumia juani hulia kivulini ila hii sio formula ni msemo tu.
Hamna ulazima wa kutoka kivulini kama ndiko ulikokuwa unachumia uende juani ili tu baadae uje kulia kivulini kukamilishb msemo.
Hivi tukifuatilia misemo yote tutakamilisha mingapi?
 
Crimea mwanakwetu jibu hoja kwa hoja.
Haya mengine unayoanzisha unanitafutia ban maana ntakuja nikwambie maneno mpaka utupe mimba.
 
Wewe lazima ni bonge la wale mliozoeaga kuweka mishahara pembeni na kutumbua pesa za kujiongezea kwa kila namna.

Sasa lazima maisha yenu ya kutaanua yameisha, mmebaki kushangaza watu na kuona aibu.

Tunawapa wengi wenu hadi 2017, pale za akiba zikiwa zimeisha muisome namba vizuri.

Jiunge na wenzako waliokimbilia kilimo kujisitiri.

Na bado mtanyooka tu, mlikuwa mnadharau sana wanaosaka pesa kwa jasho lao.
 
Kaka Safari ya Rwanda ni ipi??
 
ToZo za ubungo zimepanda .. Magari yatatozwa 7,000/= watu 300.
Kwa lipi hasa bro? Bro anaendeaha nchi kama secondari.... Bro angekuwa headmaster lazima kila mwanafunzi angetakiwa kija na michango daily.. Bro fanya tena homework... Mtaani hakuna pesa..tengeneza mazingira ya pesa kujitengeneza mtaani ndio itakuja huko serikalini.. Ila wewe bro mazingira unayaua na kodi u apandisha ... Broo au unapenda kutawala term moja?
 
Kama kina nani?
 
I reserve my comments. I'll nchi ilioza. Ndio maana hata kwa kuanzia ilikuwa kazi
 
Mzurimie mimi nafanya kazi zangu Mwenyewe.
Muulize Makonda!
Wakati anasaga soli kwenye ofisi za CCM mimi nilishaanza kupiga gia shamba kitambo.
Hayo ya mshahara ni wewe unajua.
 
duh angalia facial expr..ya jakaya.....
 
Nyie ni kizazi cha spoon feeding..kizazi kinachotaka mambo makubwa kwa wakati mfupi..kizazi kinachotaka kuishi artificial life..kizazi kinachotaka kuiangamiza dunia kwa kuolewa na wanaume wenzao sababu ya hizo tamaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…