Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Huo msemo wengi wetu tunautafasiri ndivyo sivyo. Kwa mtazamo wangu Kujadili watu kulikosudiwa ni hali kuna hoja mezani. Na wewe unaanza kujadili personality za watu badala ya hoja husika.

Mfano: "Manager A aliweza kulibadilisha shirika fulani na kuwa la kisasa zaidi" hoja
Wewe utapoanza kumjadili Manager A kwa personality yake, mfano kwanza anasura mbaya, oooh Dini yake fulani, Malaya!! Kabila lao, mwanawe teja.. Kwa mtazamo wangu hiyo ndio kujadili mtu.

Katika muktadha huu, basi hapa hajadiliwi mtu, mtu ni sehemu tu ya hoja. I stand to be corrected


Akili ndogo hujadili watu.
 
Iko siku naamini Bunge litakaa kwa dharura na kujadili kuhusu muenendo na matendo ya Malaika wetu Mkuu, wote kwa pamoja wataridhia na kupitisha ibara 37 (2) ya katiba ya JMT.
 
Hii nchi bila kupata rais wa namna hii haiendi mahali, maana tushaongozwa na marais wa aina zote lkn hakuna la maana walilofanya, lkn kwa huyu kichaa kidogo anaweza kufanya kitu, tuweni wavumilivu tu bado ana miaka 7 madarakani mambo mazuri yanakuja.
 
mwaka 2006 mpaka 2012 kulikuwa na mtu kama wewe akachoka

epuka chuki mkuu, unaumia wewe tu

weka hoja na iwe makini na backup ya references au quotes, dates n.k
 
Komaeni na hoja hizo hizo makamanda..naona mtakavyosomba kura 2020
Watashinda kwa asilimia 90 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],wana hoja nzito sana ngoja niendelee kusoma mapovu yao
 
Tuna jiwe la ajabu halijapata kutokea duniani
 
ammekuja JPM anapambana na wezi wa mali za umma na kuwataka walio iba fedha za umma watazirudisha au zitawatokea kwenye tundu lolote la mwili wake naye mna msimanga, Sasa nyinyi mnataka rais wa ainagani


Wahenga walosema ni heri kumfadhili beberu mwisho wa siku utakula hata kwato zake....
 
SSasa tuna wa hovyo kuliko jk, tumeruka Kojo tukaangukia vima
 
Mnapokosa cha kuandika huwa mnakuja na nyuzi za kipuuzi kabisa.

Cha muhimu ni ungwana wa maongezi au kujitoa kwa mtu kwa ajili ya taifa lake!!.

Hao wenye kujua nini wazungumze wapi mbona walipoondoka ikulu mliwashushia mzigo wa lawama!!.

Huu weusi wetu ni kama laana fulani vipi!!.
 
Tena wewe ndio kabisa hiyo laana ya mtu mweusi unaithibitisha kila siku hapa JF.
 
kumbuka huyu ni Rais unayemuongele anaongoza watu zaidi ya mil 50, hata kma una chuki naye, unaelekea nje ya mkondo na najua ukienda hivi siku si nyingi, utadabuliwa tu, kuwa kwenye keyboard hapa, usifikir umejificha sana...jihurumie kwanza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…