Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa mnawaongelea wananchi wa wapi kamanda, ili tuje kutalii tuwatalii.Kuleta hofu kwa wananchi kuichukia nchi yao kama wapo uhamishoni... Hiiii ndo kubwa katika mafanikio ya jiwe
Kama tulivoingizwa mkenge 2015 kuuziwa FISADI aje aue ajenda ya chama ya kupinga UFISADI.Na sasa Jeshi linaingizwa mkenge!
Naona umechanganyikiwa!!Kama tulivoingizwa mkenge 2015 kuuziwa FISADI aje aue ajenda ya chama ya kupinga UFISADI.
Hadi leo chama kimekosa ajenda kinavizia matukio tu. Mara MAFAO ya wafanyakazi, mara Ushoga, mara KOROSHO.
Yaani Mafisiem ynatueandesha kama midoli vile .
Na wengine pia tupo!tumekusikia mafanikio naona yapo kuwa watu wawili tu
Wasiojulikana, vichaa, mawe...sijui hawa jamaa waliumbwaje.SUFURI...amini usiamini. Tanzania haikuwahi kuongozwa na watu wenye roho mbaya kama sasa. na wahenga wanasema roho mbaya haijengi. acha tuendelee kubomoa.
kweli ccm nijangaHaya,tumekusikia mafanikio naona yapo kuwa watu wawili tu
To suggest that Magufuli's policies are populist or popular is not understanding the mood among the average person. These policies are not popular, they're authoritarian. The people have no choice and just like a lamb that is being led to a slaughter house...oh, if only it had a choice!Ngonjera
Mtanyooka tu.
hili ni jambo baya sana !Na sasa Jeshi linaingizwa mkenge!
Dah hayo nayo ni mafanikio!Kuua umoja wa kitaifa
Kuua demokrasia
Kuua amani ya Watz
Kuongeza uadui kati ya raia na jeshi la polisi
Kuongeza chuki kati ya wana CCM na upinzani Na mengine lukuki.
Kuleta hofu kwa wananchi kuichukia nchi yao kama wapo uhamishoni
Kufilisi Mifuko ya Pensheni ya wastafu
Watu wanaojulikana wanafichwa kwenye giza la wasiojulikana
Watu kuokotwa kwenye viroba
Wananchi kuwa masikini wakutupwa
Kununua wapinzani, na mtoto wa Dada kuwa mlipaji mkuu wa Hazina
Ngonjera
Mtanyooka tu.
Hili la uadui Kati ya Polisi na RAIA ni wazi kabisa. Mimi ninapotoka kazini kwangu Kibaha maili moja kuja hapa nyumbani kwangu Mlandizi askari huwa wananiomba lift. Nawakatalia. Sibebi polisi hata kidogo. Wakati nasimulia hayo ofisini staff mwenzangu pamoja na mteja aliyekuja kupata huduma nao wakanisapoti kuwa hata waone askari anagalagala anakaribia kufa, wafe tu lakini Gari yake haitabeba polisi iwe kwa lift au kwa msaada wowote.Kuua umoja wa kitaifa
Kuua demokrasia
Kuua amani ya Watz
Kuongeza uadui kati ya raia na jeshi la polisi
Kuongeza chuki kati ya wana CCM na upinzani Na mengine lukuki.
Kuleta hofu kwa wananchi kuichukia nchi yao kama wapo uhamishoni
Kufilisi Mifuko ya Pensheni ya wastafu
Watu wanaojulikana wanafichwa kwenye giza la wasiojulikana
Watu kuokotwa kwenye viroba
Wananchi kuwa masikini wakutupwa
Kununua wapinzani, na mtoto wa Dada kuwa mlipaji mkuu wa Hazina