Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Huwa nachukizwa nakauli kwamba watu flani nimafisadi akafuhawakamatwi hii inamaanisha serikali haiwez kuwakamata?
 
Mbona kila mtu anajua jpm anatupeleka wapi wewe tu ndio hujui. Watu wema wote watu wanayopenda maendeleo wote wanajua. Wewe labda ulitumbuliwa kwa cheti feki ndio maana hujui.
 
Assalaam Alleikhum....
Niseme tu kila nabii na kitabu chake,kila zama zina mambo yake,awamu ya tano/awamu ya jiwe inaongozwa zaidi kimkakati na propaganda,falsafa nyingi sana zimezaliwa,wananchi wamekaririshwa kuamini serikali haikosei,na atakayeona serikali inakosea na akapaza sauti huitwa 'si mzalendo',kwenye uzi huu nitaangazia dhana/kauli mbalimbali ambazo hutumika/zimetumika kama kichaka cha kunyima stahili za mwananchi bila mwananchi mnyonge kugundua kirahisi
1.Uchochezi_kuminya haki ya kutoa maoni/mawazo
2.Watu wasiojulikana_kukwepa jukumu la kuwajibika haswa kwa vyombo vya ulinzi
3.Uhakiki ni Endelevu_kuminya stahili za mtumishi
4.Sio Mzalendo_hii imetumika kuwajengea chuki kwa raia viongozi wanaoikosoa serikali
5.Hapa kazi tu_ni kauli ya muendelezo wa kuminya maslahi ya mtumishi,kuminya haki ya mikusanyiko n.k
6.Uchunguzi/Upelelezi haujakamilika/kesi itaskikizwa mwezi flani_hii ipo kimkakati kukomesha mtu fulani aendelee kusota rumande
7.Serikali ina pesa_ni muendelezo wa kuhadaa umma kwamba mambo yanaenda vizuri hata kama sio kweli.
Unaweza kuongeza dhana au kauli zingine zilizozaliwa/kuasisiwa katika awamu ya Jiwe ambazo yamkini unaziona zipo kipropaganda au kimkakati zaidi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akina Pole pole, nawaccm wote ni waongowaongo, hawana vision wala strategies ndio maana tunayumba kama vichaa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…