Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Sijui kama hautafutwa huu uzi!
sent using...tecno wereva[emoji23]
sent using...tecno wereva[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe binti mbona uwa unapenda kuchangia visvyoeleweka?? Soma uzi ndo uchangie... Acha kukurupuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibuni sana great thinkers wote tujadili na kutafakari mapungufu ya kimfumo na uendeshaji wa serikali ya Tanzania kuanzia awamu ya kwanza wakati tunapata uhuru mpaka utawala huu wa John Pombe Magufuli .
Tujadili bila ushabiki wa kisiasa juu ya mapungufu hayo na tutoe mapendekezo yanayoweza kusababisha mapinduzi makubwa ya kimandeleo kwa wananchi na uchumi wa Taifa letu kwa ujumla
Sisi wote ni mashuhuda wazuri wa lindi kubwa la ufukara na muelekeo mbovu wa uchumi wa Taifa letu kwa sasa .
Ninaamini tunaweza kubuni mfumo
Mzuri na ambao unafaa katika Taifa letu ili kujikwamua na kutupeleka katika hatua nyingine kubwa sana .
Wakati tunapata uhuru katika taifa letu kuna nchi kama Korea , Taiwan , Vietnam nk ambazo tulikuwa nazo au tulikuwa tunatofautiana kidogo sana katika level ya kimaendeleo ya kiuchumi . Leo hii sisi ndo wakuomba misaada kwao ,
Je ni wapi tumejikwaa na ni jinsi gani tunaweza kujikwamua kutoka katika giza hili ?
Kuna msemo maarufu unasema "Welevu hujifunza kutoka katika makosa ila wapumbavu huendelea kufanya makosa bila kujifunza chochote toka kwayo " .
ONYO :
Matusi na kejeli hayaruhusiwi , tujadili na kupambana kwa hoja na si matusi
Karibuni wakuu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii aliyolalamikia CAG sijui ni changamoto au mapungufu, je limeshasawazishwa, kushughulikiwa, kunyooshwa au kuwekwa sawa?Karibuni sana great thinkers wote tujadili na kutafakari mapungufu ya kimfumo na uendeshaji wa serikali ya Tanzania kuanzia awamu ya kwanza wakati tunapata uhuru mpaka utawala huu wa John Pombe Magufuli .
Tujadili bila ushabiki wa kisiasa juu ya mapungufu hayo na tutoe mapendekezo yanayoweza kusababisha mapinduzi makubwa ya kimandeleo kwa wananchi na uchumi wa Taifa letu kwa ujumla
Sisi wote ni mashuhuda wazuri wa lindi kubwa la ufukara na muelekeo mbovu wa uchumi wa Taifa letu kwa sasa .
Ninaamini tunaweza kubuni mfumo
Mzuri na ambao unafaa katika Taifa letu ili kujikwamua na kutupeleka katika hatua nyingine kubwa sana .
Wakati tunapata uhuru katika taifa letu kuna nchi kama Korea , Taiwan , Vietnam nk ambazo tulikuwa nazo au tulikuwa tunatofautiana kidogo sana katika level ya kimaendeleo ya kiuchumi . Leo hii sisi ndo wakuomba misaada kwao ,
Je ni wapi tumejikwaa na ni jinsi gani tunaweza kujikwamua kutoka katika giza hili ?
Kuna msemo maarufu unasema "Welevu hujifunza kutoka katika makosa ila wapumbavu huendelea kufanya makosa bila kujifunza chochote toka kwayo " .
ONYO :
Matusi na kejeli hayaruhusiwi , tujadili na kupambana kwa hoja na si matusi
Karibuni wakuu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
P,nawe sio mzalendo? Mtoa mada amejificha kwenye utambulisho. Kiongozi wa ukoo amesema yeye ndiye ukoo wenyewe.Huu ni uzi muhimu, ila jina halijakaa vizuri, kwa sababu wenyewe wenye serikali yao, hawapendi kuambiwa ukweli kuwa wana mapungufu, na serikali ina mapungufu, hivyo badili title uiite " Kuijadili Changamoto za Serikali Awamu ya Tano".
P
Watu wanajadili mapungufu ili kupata suluhisho. Mazuri tunayaacha kwa sababu hatuwezi kuyarekebisha zaidi ya kuacha yslivyoHii post haijakamili, mazuri na mapungufu hujadiliwa pamoja. Kwanini tujadili mapungufu pekee?
"ANATUTOA MISRI ANATUPELEKA KANAANI"Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!