Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,384
Hao wafanyakazi wenyewe waongo kwasababu kipindi cha kupiga kura hua hawaendi kupiga kura, nasema hivo kwasababu nimeishi na wafanyakazi wengi na niliziona tabia zao! vile vile mke wangu ni mfanyakazi ukimwambia mambo ya kupiga kura mnakosana kabisa.Katika utafiti wangu nimegundua wafanyakazi wengi wanatamani hats uchaguzi uwe kesho Jiwe aondoke mana katika kipindi chake kimekuwa na mateso makubwa mfano hakuna nyongeza ya mshahara.Hela za likizo watu hawalipwi pia upandishwaji was madaraja umekuwa was kusuasua.
Maoni yangu Serikali iwaangalie watu hawa wanateseka sana pia serikali ijue hawa ndo wapiga kura isifikiri uchaguz ukikaribia watawadanganya kwa kuwapa nyongeza watu wengi wanajitambua kwa sasa.
Note:Mimi sio mfanyakazi in mfanyabiashara nmewasema wafanyakazi sababu wengi nawajua na na najua masahibu yao
Huu ni uzi muhimu, ila jina halijakaa vizuri, kwa sababu wenyewe wenye serikali yao, hawapendi kuambiwa wana mapungufu, hivyo badili title uiite " Kuijadili Changamoto za Awamu ya Tano".
P
Kwanini wasipende??Huu ni uzi muhimu, ila jina halijakaa vizuri, kwa sababu wenyewe wenye serikali yao, hawapendi kuambiwa wana mapungufu, hivyo badili title uiite " Kuijadili Changamoto za Awamu ya Tano".
P
Karibuni sana great thinkers wote tujadili na kutafakari mapungufu ya kimfumo na uendeshaji wa serikali ya Tanzania kuanzia awamu ya kwanza wakati tunapata uhuru mpaka utawala huu wa John Pombe Magufuli .
Tujadili bila ushabiki wa kisiasa juu ya mapungufu hayo na tutoe mapendekezo yanayoweza kusababisha mapinduzi makubwa ya kimandeleo kwa wananchi na uchumi wa Taifa letu kwa ujumla
Sisi wote ni mashuhuda wazuri wa lindi kubwa la ufukara na muelekeo mbovu wa uchumi wa Taifa letu kwa sasa .
Ninaamini tunaweza kubuni mfumo
Mzuri na ambao unafaa katika Taifa letu ili kujikwamua na kutupeleka katika hatua nyingine kubwa sana .
Wakati tunapata uhuru katika taifa letu kuna nchi kama Korea , Taiwan , Vietnam nk ambazo tulikuwa nazo au tulikuwa tunatofautiana kidogo sana katika level ya kimaendeleo ya kiuchumi . Leo hii sisi ndo wakuomba misaada kwao ,
Je ni wapi tumejikwaa na ni jinsi gani tunaweza kujikwamua kutoka katika giza hili ?
Kuna msemo maarufu unasema "Welevu hujifunza kutoka katika makosa ila wapumbavu huendelea kufanya makosa bila kujifunza chochote toka kwayo " .
ONYO :
Matusi na kejeli hayaruhusiwi , tujadili na kupambana kwa hoja na si matusi
Karibuni wakuu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe binti mbona uwa unapenda kuchangia visvyoeleweka?? Soma uzi ndo uchangie... Acha kukurupukaHujasoma kaandika (1-5) au hukumuelewa?
Jana kuna post yako umemuhukumu marehemu kama vile wewe ni Mungu.. ulinishangaza nikawa napiga picha sura yako kama vile nakuona unayatamka.. ulivyoingia kwenye upaparazi kweli umeonyesha upande wako wa ukweli ulivyo.. duh!!!
Umezungumzia hapo Korea . Nimejifunza kwanini Seul (South Korea) wanafanya vizuri zaidi kiuchumi kuliko Pyongyang (North Korea).Karibuni sana great thinkers wote tujadili na kutafakari mapungufu ya kimfumo na uendeshaji wa serikali ya Tanzania kuanzia awamu ya kwanza wakati tunapata uhuru mpaka utawala huu wa John Pombe Magufuli .
Tujadili bila ushabiki wa kisiasa juu ya mapungufu hayo na tutoe mapendekezo yanayoweza kusababisha mapinduzi makubwa ya kimandeleo kwa wananchi na uchumi wa Taifa letu kwa ujumla
Sisi wote ni mashuhuda wazuri wa lindi kubwa la ufukara na muelekeo mbovu wa uchumi wa Taifa letu kwa sasa .
Ninaamini tunaweza kubuni mfumo
Mzuri na ambao unafaa katika Taifa letu ili kujikwamua na kutupeleka katika hatua nyingine kubwa sana .
Wakati tunapata uhuru katika taifa letu kuna nchi kama Korea , Taiwan , Vietnam nk ambazo tulikuwa nazo au tulikuwa tunatofautiana kidogo sana katika level ya kimaendeleo ya kiuchumi . Leo hii sisi ndo wakuomba misaada kwao ,
Je ni wapi tumejikwaa na ni jinsi gani tunaweza kujikwamua kutoka katika giza hili ?
Kuna msemo maarufu unasema "Welevu hujifunza kutoka katika makosa ila wapumbavu huendelea kufanya makosa bila kujifunza chochote toka kwayo " .
ONYO :
Matusi na kejeli hayaruhusiwi , tujadili na kupambana kwa hoja na si matusi
Karibuni wakuu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app