Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Upo sahhWeee jamaaa banna wapo walio graduate toka 2010 wapo mitaan tu.... Waliojiajiri hali ya uchumi wamefunga miradi na biasha zao wapo mitaani tu, hawana cha kupoteza. Ila amini nakuambia CCM ita tawala sana, watanzania ni malumbuken wa kutupwa, wapo busy na vitu vya hovyo hovyo... Clip za kina gwajima.
Akitoka madarakani mtatamani angeendelea hata mi 8 zaidi maana hizo hizo fly over mnazosema ndipo mtakapokuwa mnapita na wew na familia yakoVilio vyote walivyolia wakulima watumishi wananchi wakawaida atajitetea kwamba aliwajengea fly over ya tazara na ndege uuuuuuuuuwiiiiuuuuuu
Imagine baba yako mzazi ambae hakukusomesha miaka ya 80 halafu unamuuliza Leo 2019 hivi baba kwanini hukunipeleka shule na bado ukamtesa mama?
Libaba lako linakujibu mwanangu sikukusomesha na mama yako aliteseka ili
1.ninunue kombi
2.ninunue taa ya chemli
3.ninunue jiko LA stovu
Nk
Anyway tunaanza kujifunza umuhimu wa kupigania madaraka maana yana athiri yana athari na kuacha taathira!!!
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili
Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana
Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?
Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?
Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?
Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?
Britannica
NimeelewaKama huelewi maana ya nepotism angalia utawala wa Magufuli utaelewa na vielelezo vyake.
YawezekanaMkome kumsema mtoto wa baba!!! Yule soon atakuwa waziri mkuu hapo ndo mtakoma.😡
Time will tell. Walikuwepo kama yeye duniani na sasa wapo Lupango. Wako wapi kama mke wa Mugabe aliyediriki kumpiga mhudumu wa hotel? Bashir na wenzao akina Ghadaffi na watoto wao wako wapi? Heri Mwalimu aliitwa dictator lakini akatupa elimu nzuri ya kutuandaa maishani. Sasa hivi ni bora elimu siyo elimu bora. Tuliosoma na watoto wa mwalimu tunakumbuka maisha waliyokuwa nayo ambayo yalikuwa kama sisi sote. BASHITE.Mtoto mwenye raha kuliko watu wote duniani hawezi kutumbuliwa
Kwani lazima kila mtu ajitangaze alipo? Ebo!Huku uchina ni saa tatu asubuhi vipi huko?
Kwani hamlali watanzania
Huku uchina ni saa tatu asubuhi vipi huko?
Kwani hamlali watanzania
Kwakweli but this is more than what we call nepotismKama huelewi maana ya nepotism angalia utawala wa Magufuli utaelewa na vielelezo vyake.
kumbeeTatu na dk 1! Nipo Shanghai upo wapi mkuu
Mkuu, nawewe umekatwa mkia nini? Kwa muda mrefu ulikua ni mtu wa kupiga makofi na kusifia tu, nini kimekupata?Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili
Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana
Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?
Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?
Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?
Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?
Britannica
Nihao ... Beijing moja .. pande zipi ?Huku uchina ni saa tatu asubuhi vipi huko?
Kwani hamlali watanzania
Ni zaidi ya hiyo 'nepotism'.Kama huelewi maana ya nepotism angalia utawala wa Magufuli utaelewa na vielelezo vyake.