MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,788
- 3,126
Tunaanzaje kulala mkuu ilihali hakulaliki..Huku uchina ni saa tatu asubuhi vipi huko?
Kwani hamlali watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaanzaje kulala mkuu ilihali hakulaliki..Huku uchina ni saa tatu asubuhi vipi huko?
Kwani hamlali watanzania
MtakaNi wapi aliambiwa Makalla ni mkuu wa mkoa bora ? Kuweni makini kusoma na kufanya rejea.Mataka na Makalla wapi na wapi ?
Time will tell. Walikuwepo kama yeye duniani na sasa wapo Lupango. Wako wapi kama mke wa Mugabe aliyediriki kumpiga mhudumu wa hotel? Bashir na wenzao akina Ghadaffi na watoto wao wako wapi? Heri Mwalimu aliitwa dictator lakini akatupa elimu nzuri ya kutuandaa maishani. Sasa hivi ni bora elimu siyo elimu bora. Tuliosoma na watoto wa mwalimu tunakumbuka maisha waliyokuwa nayo ambayo yalikuwa kama sisi sote. BASHITE.
[
OTE]
Anh...nilitaka kupita kimya kimya na kicheko changu...lakini imenibidi nikubali uzito wa hoja yako hii. Sio Bure! Kuna kitu.
Nyerere alinusurika kupinduliwa mara kadhaa ndipo akiwa mkali lakini kabla ya hapo Nyerere hakuwa na Tatizo na mtu, lakini hawa wa sasa ni waonevu tu wanawaonea watu makusudiMwalimu alikuwa cold dikteta sababu ya malezi ( kulelewa Na wazazi wawili hadi ukubwani) pia dini ilimshape ikamfundisha kuhusu Mungu roho,uhai Na utu.Tofauti Na mablood dikteta wa zama zake
Le mutuz mwenyewe licha ya kuwa dalali wa kuleta waganga wa kienyeji aliugua mpaka kulazwa muhimbili, ipo siku mizimu yao itagoma ingawa mwaka 2020 mtukufu anataka Bashite Maliyamungu agombee ubunge Kinondon au kawe kisha amsimike uwaziri wa mambo ya ndani awakomoe Wapinzani na wale wote wanaomkosoaUshirika wa wachawi si wa kudumu hata kama wamewekana mfukoni Kwa maagano ya mizimu
Kama huelewi maana ya nepotism angalia utawala wa Magufuli utaelewa na vielelezo vyake.
Yeye na bashite mahusiano yao ni ya matambiko hayavunjwi kwa taratibu za kiserikali bali mizimu. Na huko kwenye mizimu bashite ndio senior kwa Magu.
Nadhani kuteuliwa si zawadi na pia kuondolewa si adhabu bali ni mipango ya anaye teuwa ili kutimiliza majukumu yake. Anateuwa kupata usaidizi kwa wakati yeye aonapo muafaka. Hashurutishwi wala hashawishiwi. Kama usivyokuwa na mamlaka ya kuhoji ateuwapo, vivyohivyo atenguapo.Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili
Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana
Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?
Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?
Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?
Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?
Britannica
Sodoma na Gomola
Kama huelewi maana ya nepotism angalia utawala wa Magufuli utaelewa na vielelezo vyake.
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili
Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana
Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?
Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?
Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?
Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?
Britannica
endelea kuomba ukiacha utakuwa mchawi ah ahNinaomba sana Mungu anipe hekima niweze kujizuia kuandika ninachokijua kuhusu uhusiano wa watu hawa.
Amen.
Mpaka pale atakapopata maelekezo toka Kwa mizimu. Kilangila.Mtoto mwenye raha kuliko watu wote duniani hawezi kutumbuliwa
Tulale tuna raha gani? Bashite pekee ndiye anaweza kulala. Kilangila.Huku uchina ni saa tatu asubuhi vipi huko?
Kwani hamlali watanzania
Le mutuz mwenyewe licha ya kuwa dalali wa kuleta waganga wa kienyeji aliugua mpaka kulazwa muhimbili, ipo siku mizimu yao itagoma ingawa mwaka 2020 mtukufu anataka Bashite Maliyamungu agombee ubunge Kinondon au kawe kisha amsimike uwaziri wa mambo ya ndani awakomoe Wapinzani na wale wote wanaomkosoa
Le mutuz mwenyewe licha ya kuwa dalali wa kuleta waganga wa kienyeji aliugua mpaka kulazwa muhimbili, ipo siku mizimu yao itagoma ingawa mwaka 2020 mtukufu anataka Bashite Maliyamungu agombee ubunge Kinondon au kawe kisha amsimike uwaziri wa mambo ya ndani awakomoe Wapinzani na wale wote wanaomkosoa