imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mbali na chuki zake kwa watanzania pia ni muongo sana huwezi kujua Tanzania ina samaki wangapi.Anabeba kila kitu ktk Roho yake kama Nyavu za kokoro ,ndio sababu hafanikiwi kwa kujiongezea Maadui kila kona.