Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Weee jamaaa banna wapo walio graduate toka 2010 wapo mitaan tu.... Waliojiajiri hali ya uchumi wamefunga miradi na biasha zao wapo mitaani tu, hawana cha kupoteza. Ila amini nakuambia CCM ita tawala sana, watanzania ni malumbuken wa kutupwa, wapo busy na vitu vya hovyo hovyo... Clip za kina gwajima.
Upo sahh
 
Vilio vyote walivyolia wakulima watumishi wananchi wakawaida atajitetea kwamba aliwajengea fly over ya tazara na ndege uuuuuuuuuwiiiiuuuuuu

Imagine baba yako mzazi ambae hakukusomesha miaka ya 80 halafu unamuuliza Leo 2019 hivi baba kwanini hukunipeleka shule na bado ukamtesa mama?

Libaba lako linakujibu mwanangu sikukusomesha na mama yako aliteseka ili

1.ninunue kombi
2.ninunue taa ya chemli
3.ninunue jiko LA stovu

Nk

Anyway tunaanza kujifunza umuhimu wa kupigania madaraka maana yana athiri yana athari na kuacha taathira!!!
Akitoka madarakani mtatamani angeendelea hata mi 8 zaidi maana hizo hizo fly over mnazosema ndipo mtakapokuwa mnapita na wew na familia yako
 
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili

Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana

Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?

Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?

Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?

Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?

Britannica
 
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili

Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana

Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?

Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?

Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?

Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?

Britannica

Yeye na bashite mahusiano yao ni ya matambiko hayavunjwi kwa taratibu za kiserikali bali mizimu. Na huko kwenye mizimu bashite ndio senior kwa Magu.
 
Mtoto mwenye raha kuliko watu wote duniani hawezi kutumbuliwa
Time will tell. Walikuwepo kama yeye duniani na sasa wapo Lupango. Wako wapi kama mke wa Mugabe aliyediriki kumpiga mhudumu wa hotel? Bashir na wenzao akina Ghadaffi na watoto wao wako wapi? Heri Mwalimu aliitwa dictator lakini akatupa elimu nzuri ya kutuandaa maishani. Sasa hivi ni bora elimu siyo elimu bora. Tuliosoma na watoto wa mwalimu tunakumbuka maisha waliyokuwa nayo ambayo yalikuwa kama sisi sote. BASHITE.
[
OTE]
 
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili

Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana

Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?

Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?

Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?

Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?

Britannica
Mkuu, nawewe umekatwa mkia nini? Kwa muda mrefu ulikua ni mtu wa kupiga makofi na kusifia tu, nini kimekupata?
 
Kama huelewi maana ya nepotism angalia utawala wa Magufuli utaelewa na vielelezo vyake.
Ni zaidi ya hiyo 'nepotism'.

Mtu anayetunza funguo za makabati yote sio wa kumkurupukia kirahisi. Akina Britannica wataimba kila aina ya nyimbo ...lakini inashangaza kidogo, kwa mtu kama 'Britannica' asielewe haya yote! Nadhani kuna 'disconnection' mahali fulani inayomfunika macho ili asione.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom