KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Anh...nilitaka kupita kimya kimya na kicheko changu...lakini imenibidi nikubali uzito wa hoja yako hii. Sio Bure! Kuna kitu.Yeye na bashite mahusiano yao ni ya matambiko hayavunjwi kwa taratibu za kiserikali bali mizimu. Na huko kwenye mizimu bashite ndio senior kwa Magu.
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili
Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana
Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?
Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?
Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?
Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?
Britannica
Sodoma na GomolaNinaomba sana Mungu anipe hekima niweze kujizuia kuandika ninachokijua kuhusu uhusiano wa watu hawa.
Amen.
Muda badoNaomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili
Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana
Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?
Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?
Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?
Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?
Britannica
Time will tell. Walikuwepo kama yeye duniani na sasa wapo Lupango. Wako wapi kama mke wa Mugabe aliyediriki kumpiga mhudumu wa hotel? Bashir na wenzao akina Ghadaffi na watoto wao wako wapi? Heri Mwalimu aliitwa dictator lakini akatupa elimu nzuri ya kutuandaa maishani. Sasa hivi ni bora elimu siyo elimu bora. Tuliosoma na watoto wa mwalimu tunakumbuka maisha waliyokuwa nayo ambayo yalikuwa kama sisi sote. BASHITE.
[
OTE]
Muda bado
Mirija imekataMkuu, nawewe umekatwa mkia nini? Kwa muda mrefu ulikua ni mtu wa kupiga makofi na kusifia tu, nini kimekupata?
Uhusiano kama ule wa Adam na Hawa?Ninaomba sana Mungu anipe hekima niweze kujizuia kuandika ninachokijua kuhusu uhusiano wa watu hawa.
Amen.
Mbona umeenda mbali sana?Sodoma na Gomola
Naomba msamaha kwa watanzania kwa kumsema kiongozi wetu kwa jambo hili
Mkuu kuna mambo mengi unajichanganya sana
Suala la uwajibikaji wa kiserikali na ofisi kwa ujumla
Naona Makonda na Makala kwa sasa aliyepaswa kuwa nje system nani?
Kosa la Makala ni la kawaida kulingana na makosa pamoja na tuhuma za Makonda?
Juzi mbona ulitwambia ndo mkuu wa mkoa bora?
Kuna nini cha ghafla?
Nini kinakupa kigugumizi kufanya maamuzi yanayohusu Makonda?
Britannica
Hao ndio wahabarishaji wetu wa jf, na tunawaamini kweli kweli. [emoji848][emoji848]Ni wapi aliambiwa Makalla ni mkuu wa mkoa bora ? Kuweni makini kusoma na kufanya rejea.Mataka na Makalla wapi na wapi ?
Kwa Mwalimu walikuwa wanaangalia utabiri wahali yahewa kwenye TV je nakwenu ilikuwa hivyo? Kama nihivyobasi nikweli mlikuwa sawaTime will tell. Walikuwepo kama yeye duniani na sasa wapo Lupango. Wako wapi kama mke wa Mugabe aliyediriki kumpiga mhudumu wa hotel? Bashir na wenzao akina Ghadaffi na watoto wao wako wapi? Heri Mwalimu aliitwa dictator lakini akatupa elimu nzuri ya kutuandaa maishani. Sasa hivi ni bora elimu siyo elimu bora. Tuliosoma na watoto wa mwalimu tunakumbuka maisha waliyokuwa nayo ambayo yalikuwa kama sisi sote. BASHITE.
[
OTE]
Mkuu tuandikie japo kwa codesNinaomba sana Mungu anipe hekima niweze kujizuia kuandika ninachokijua kuhusu uhusiano wa watu hawa.
Amen.
Hekima zaidi ni pale utakapofumbua hili fumboNinaomba sana Mungu anipe hekima niweze kujizuia kuandika ninachokijua kuhusu uhusiano wa watu hawa.
Amen.
Mataka ni nani mkuu.??Ni wapi aliambiwa Makalla ni mkuu wa mkoa bora ? Kuweni makini kusoma na kufanya rejea.Mataka na Makalla wapi na wapi ?
Mpaka hivi tunavyoongea Daud Maliyamungu Bashite anamiliki waganga wa kienyeji 83 toka mataifa mbalimbali ambao wameletwa na Le mutuz ambaye ni dalali wa ndumba zake kwa sasa, Maliyamungu Bashite yeye ni mshirikina mkubwa lakini mbele za umma huzuga kuzunguka makanisani kuombewa hata mshirika wake cyprian Musiba anakiri kuwa Maliyamungu Bashite ni noma kwenye idara hiyo na wao huwatumia waganga hao hao kujikinga dhidi ya moto wa watu mbalimbali wanaowafanyia visa na vioja na unyanyasaji wa kila aina.Yeye na bashite mahusiano yao ni ya matambiko hayavunjwi kwa taratibu za kiserikali bali mizimu. Na huko kwenye mizimu bashite ndio senior kwa Magu.