Huo ni ukweli mchungu, ambao hakuna wa kuweza kuupinga. OVANajua hii thread haitadumu Kwa sababu ya heading yake.
Huyu ndo Rais wetu anayejipambanua Kama mcha Mungu na tumwombee sana, roho yake ina chuki za kupindukia Kwa wapinzani
LISU keshalipwa!Kila mtu atalipwa kwa kadri ya matendo yake.
LISU keshalipwa!
hata yeye pia anajitambua kuwa yupo hivyoNajua hii thread haitadumu Kwa sababu ya heading yake.
Huyu ndo Rais wetu anayejipambanua Kama mcha Mungu na tumwombee sana, roho yake ina chuki za kupindukia Kwa wapinzani
Sio chukintu, sema ana roho mbaya kuliko shetani huenda kwao kuna wachawi na ndiyo mazingira aliyokulia. Anacheka sana nikimuona kanisani na kujifanya mcha MunguNajua hii thread haitadumu Kwa sababu ya heading yake.
Huyu ndo Rais wetu anayejipambanua Kama mcha Mungu na tumwombee sana, roho yake ina chuki za kupindukia Kwa wapinzani
Jina la Mungu linatumika vibaya mno.... Mungu angekuwa na roho ya korosho nusu ya dunia angeiteketezaOgopa sana mtu anayetumia gia ya mtangulize Mungu, hata al-shababu wanatumia gia hiyo hiyo kuua watu
Ss mbona hamuelezi makosa yake. Yeye sio mkamilifu hata ww ulie post ukipewa hii nchi lazima watu watalalamika. Tuangalie aliyoyafanya ulinganishe na mabaya yake na utazame changamoto ya hii nchi
Na mimi sijawahi kuona shetani anaombewa kwakweliBasi mtakuwa mateka wa shetani!
avatar yako jau mchuzi matakoniIlishatangazwa siku nyingi huko ubelgiji kwenye jumba la shetani!
Aaah hakuna aliye perfect.Unaishi wapi hadi hujui maovu ya huyu nduli? Hujasikia kuhusu dhuluma kwa wakulima wa korosho, wafanyabiashara, wafanyakazi, machinga? Hujasikia mpaka kuanza kutengwa na nchi wafadhili na mashirika ya Kimataifa? Hujasikia kuhusu kudharau katiba, mahakama, Bunge na ofisi ya CAG!? Open your eyes [emoji102] and brain [emoji3447] wide open to see what he is doing to destroy this beautiful country.
Aaah hakuna aliye perfect.
Hata Nyerere alikuwa na makosa mengi mno mpk kuitia nchi ktk njaa ya funga funga.
Na alikua mdhulumati hivyo hivyo kutaifisha mali za watu tena kwa kuzichunguza hadi vyumbani mwao.
Kikwete angeiuza hii nchi kabbisa kwa kugawa maeneo kwa imperialists kama kurasini na Pille temeke.
Na bado Mkapa sera zake za ubinafsishaji zimeharibu nchi kabbisa.Kwa yeye kubinafsisha mashirika makubwa yanaoingiza pato kubwa serikalini hususan TRC.Udini wake umefanya waislam kumchukia na kuwachukia dini nyingine kwa chuki zake za kuua na kuwapiga waislam hususan msikiti wa mwembe chai.
KIDOGO Alli Hassan Mwinyi alijitahidi ingawa kaipa nchi maden makubwa.
Na sasa yupo magufuli.
Ana mema yake na mabaya yake.
Msiongee tu
[emoji23][emoji1787]Kufufua wafu.
Siku zake za mwisho zitakuwa za uchungu sanaNajua hii thread haitadumu Kwa sababu ya heading yake.
Huyu ndo Rais wetu anayejipambanua Kama mcha Mungu na tumwombee sana, roho yake ina chuki za kupindukia Kwa wapinzani
KAMWE usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu ajabu kama huyu nduli, mwizi, muongo, fisadi, mzinzi na maovu chungu nzima mengine. Huyu hafanyi makosa bali anafanya makusudi tia akili kichwani. Nyerere hakuwahi kugoma kukaguliwa na CAG kuiba senti moja hazina wala kufanya ufisadi.
Huyo kachota hazina Trillions bila idhini ya Bunge, ufisadi na wizi wa kutisha ikiwemo ukwapuzi wa 2.4 trillions na kugoma kukaguliwa
Acha kabisa kumfananisha Nyerere na huyo mhuni ambaye ameshindwa hata kuheshimu taasisi ya Urais.
Najua hii thread haitadumu Kwa sababu ya heading yake.
Huyu ndo Rais wetu anayejipambanua Kama mcha Mungu na tumwombee sana, roho yake ina chuki za kupindukia Kwa wapinzani
Mbali na chuki zake kwa watanzania pia ni muongo sana huwezi kujua Tanzania ina samaki wangapi.