Nothing special in Tz ,poor roads ,heath care , mtu akioongea English sio mzalendo ni ushamba tu bora Africa kusini its a free county with great opportunities
Wewe po po ma sasa si uende ukaishi hiyo nchi,Nothing special in Tz ,poor roads ,heath care , mtu akioongea English sio mzalendo ni ushamba tu bora Africa kusini its a free county with great opportunities
Fanya kazi kijana, usiendekeze ukahabaNothing special in Tz ,poor roads ,heath care , mtu akioongea English sio mzalendo ni ushamba tu bora Africa kusini its a free county with great opportunities
Utakuwa umepagawa na mapepo wewe.Nothing special in Tz ,poor roads ,heath care , mtu akioongea English sio mzalendo ni ushamba tu bora Africa kusini its a free county with great opportunities
kuchakachua kura hakuzui kujua nini wananchi waliamua kwenye sanduku la kura.kabisa unakaa unasubiri kura kumtoa magufuri?
Kushabikia ndege ni ushamba!!JPM rais bora Hapa kazi tu.
Huyu jamaa na wapambe wake, hawajui kuwa pesa ni za watanzania sio za Magufuri kwa hiyo anapozitumia anapaswa kutatua matatizo makubwa ya jamii siyo kutumika kwa utashi wa mtu huku jamii ikiendelea kuteseka miaka nenda rudi kwa vitu ambavyo vina uwezo wa kutatuliwa na Wananchi wakaishi maisha yaliyo bora kabisa. Yaani pesa zitumike zi - reflect matatizo makubwa ya jamii siyo utashi wa Jiwe.Miaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...
Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...
Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!
Kushabikia ndege ni ushamba!!
Wana fadhili wapiga debe kama "CYPRIAN MUSIBA" kwaajili ya kuunga juhudi.
Asante sana kwa kunitoa jalalani-KabudiSijui wataalam wake wa uchumi ni akina nani??
Mbona unatokwa povu na ndege tu mengine huyaoni ambayo mnafaidi pia nyie kundi dogo la wafanyakazi miongoni mwa watanzania woote karibu 60mil. Mshahara unatoka kwa wakati kati ya tarehe 21 hadi 25 tofauti na enzi za JK hadi tarehe 5 ndani ya mwezi mwinginea Elimu bure, vituo vya afya na zahanati na hosipitali zimeboreshwa na kujengwa mpya, umeme wauhakika hakuna mgao, barabara, upanuzi wa bandari na meli mpya zinatengenezwa ziwa Victoria, Nyasa na Tanganyika, madaraja, masoko ya kisasa, flyover, barabara za juu bahari ya Hindi, kuthibiti mfumuko wa bei ya vyakula, umeme, mawasiliano n.k, n.k. Hayo yooote hamyaoni? Au mnajiondoa ufahamu ili mpinge? KalaghabhaoMiaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...
Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...
Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!