wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Mkuu kwanza nikwambie tu ww unaonekana ni mshangiliaji tu !! Huna lolote nimekufatilia toka mwanzo sasa ndo nagundua ww ni mweupe sanaaaa! ,,,,ebu kabla ya kuendelea eleza dhana ya annual increment ni nini?Annual increment mbona zinalipwa mkuu!! Ndiyo maana nikasema wewe si mtumishi wa umma!
Kwanza sina uhakika ww kama ni mtumishi wa umma? Na kama ni mtumishi wa umma kweli basi inawezekana Upo kazini miiaka more then 15 or 20 so madaraja ,,kwako cyo ishu tena ,huwezi kusifia ujingaSisi watumishi serikali mishahara inatosha. Kama tumeweza kukaa miaka 4 bila nyongeza tutashindwaje muda uliobaki. Hata kama ni 10.
Sijasikia mtumishi aliyekufa njaa ama kukaba watu.
Nunua madege,jenga flaiova,esijira,stigl goji n.k
Tuje tupate neema uzeeni.
Brain zero kabisa wwMiaka mitano umekanyaga haki za watumishi wa Umma, unakiuka waziwazi sheria za Utumishi wa Umma Halaf unatamba kununua ndege kila kukicha, huku unatutukana na kuwatukana Nyerere Hadi Kikwete Kwamba hawakununua Ndege as if Ndege is someone's manhood...
Hata huwazi Kuwa wenzako Hizo hela unazozitumia wewe kwa kificho Bila Bunge wala CAG Kujua wenzako walizitumia kulipa nyongeza ya mishahara kwa watumishi waliopo na kuajiri wengine wapya...
Wewe umedhulumu Haki za watu Kisa unapenda ndege...sawa Mzee wa Midege, See You in the ballot booth next year...UNA DHARAU SANA YAN!
Mbowe vipi ameiua demokrasiaInaoneka una uchungu sana mkuu sio hilo tu la watumishi huyu jamaa baya zaidi ni hili la uminyaji wa democrasia hali iliyofanya vyombo vya habari kutoripoti habari zozote za wapinzani ambao walikuwa wanazungumza vitu vilivyokuwa vinawafungua wajinga ila sasa wajinga wamebaki kushangilia ndege tu bado ndege saba kutimia ndege 14 ni mtaji mzuri kisiasa ila si kimaendeleo
Nadhan hata China ilipokuwa inafufuka, ilikuwa hivi. Nadhani anatumia kanuni ile ya ...njia zote zitakutana njia panda. Mkuu tutakutana njia panda tuwe na hiyo imani. Vyovyote tutakapopitia ili mradi tufike pale tunapopataka, sasahivi mwache raisi afyeke nyasi ili kutengeneza hizo njia za kukutania njia panda. Na hizo njia ni pamoja na maendeleo ya miundombinu na maeneleo ya wananchi kwa ujumla. Tukutane njia panda katika uchumi wa kati.Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Unalia wewe, sisi hatuhusiki.Pasco usijitoe fahamu, nchi zilizopinda ni Somalia, Sudan kusini, Syria, Afghanistan na nyinginezo Tanzania haijawahi kupinda.
Huyu mwizi mkubwa unamwita mzalendo?
Unaujua mkataba wa manunuzi ya ndege? Ni bunge lipi liliidhinisha International Airport ya Chato ambayo anaitumia peke yake tu, ziko wapi Trilioni 2 Kwenye Report ya CAG?
Uchumi unakufa Kila leo unasema huyu ni mzalemdo? kaua soko la korosho, kaua soko la mbaazi na choroko, nchi nzima inalia hali ngumu ya uchumi, kazi yake ni kutafuta wapi pamekaa vizuri ili apaharibu.
Ameikuta nchi imetulia anafanya kazi ya kuipasua na kuiharibu
Nimekuelewa sana, naomba nikueleze tu kwamba usitake kupotosha umma kwa kupindisha kidogo tu, Mh Rais hakumaanisha unachojaribu kuwaaminisha watanzania, Rais hana mpango na kuendelea kuongoza kama unavyojaribu kucheza na hisia za watu, elimu uloipata usiitumie vibaya, subir miaka 10 ipite ndo uongee upuuzi huo.
Yes ndio wengi nchi hii, ni asilimia 13 ya watanzania wote. Mlizoea kupendelewa enyi wenye meno yaliyooza kama kashata. Huu nibwakati mwingine.Mkuu wa Majeshi ni Ngosha
Katibu Mkuu hazina si ngosha tu, bali ni mpwae. Angalia lundo la mawaziri toka Ungoshani. Nishati, Biashara, Mifugo,Madini.
Akikosa ungsohani anahamia kanda ya Ziwa.
Bado kidogo the king of Bermuda Kingdom ataanza kutupangia muda wa kulala.
Jinga kweli wewe, Tunamwombea Sana ili awahi kuondoka akaongoze malaika
Ngosha usiye na akili hata kidogo.Hata akiamua atawale miaka 20 zaidi tutamuunga mkono tu maana anafanya kazi zinazoeleweka.
Kwa hiyo anavyoiita Rais wa wanyonge anakua amelewa?Magufuli ni Rais wa Tanzania na sio Rais wa wanyonge!
Tanzania ina watu ambao ni watoto, wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara!
Unaniuliza mimi? Kamuulize anayehusika na swali lako!Kwa hiyo anavyoiita rais wa wanyonge anakua amelewa?
CCM na wapambe mnaposema Rais wa wanyonge huwa mnamaanisha wakina naniMagufuli ni Rais wa Tanzania na sio Rais wa wanyonge!
Tanzania ina watu ambao ni watoto, wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara!