Nimetoka kumaliza kusoma kitabu cha rais mstaafu Benjamin William Mkapa, kinaitwa "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers".
Ndani huko kapiga madongo sana uongozi wa nchi wa siku hizi, na katika madongo hayo, mengi sana yanamgusa Magufuli, ingawa hakumtaja kwa jina.
Nitatafuta muda niandike full review.
Baba yako bora angemwaga nje au mama yako bora angefanya abortionhakuna jungu dhidi ya Magufuli litakalowafanya wananchi wageuze msimamo
Nimetoka kumaliza kusoma kitabu cha rais mstaafu Benjamin William Mkapa, kinaitwa "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers".
Ndani huko kapiga madongo sana uongozi wa nchi wa siku hizi, na katika madongo hayo, mengi sana yanamgusa Magufuli, ingawa hakumtaja kwa jina.
Nitatafuta muda niandike full review.
NitakukumbushaNimetoka kumaliza kusoma kitabu cha rais mstaafu Benjamin William Mkapa, kinaitwa "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers".
Ndani huko kapiga madongo sana uongozi wa nchi wa siku hizi, na katika madongo hayo, mengi sana yanamgusa Magufuli, ingawa hakumtaja kwa jina.
Nitatafuta muda niandike full review.
Ni kweli "mzalendo" wa kweli kama wazee was sacco na waigizaji- wazalendo hawawezi kumuunga Mkono MagufuliMzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.
1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".
2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.
3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".
Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
kwasababu ukuu wa mkoa hauhitaji cheti, na hakuna anaeweza kuthibitisha beyond reasonable doubt kuwa Makonda ana cheti feki. Makonda ameonekana kwenye kila shule inayoonekana kwenye vyeti vyake. Na Makonda ni loyal kwa Magufuli, akiambiwa jump haulizi how high yeye anaruka tu. Ukiwa na watu loyal wa aina yake uongozi wako unakua rahisi.Kama alifuta watu kazi kws ajili ya vyeti fake iweje Bashite aka Makonda bado yupo kazini?
Nimekutajia mtu anaefahamika na wengi na ushahidi upo kwenye public domain.
Mzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.
1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".
2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.
3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".
Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
Hoja ya 3... π―π―π―π―π―ββββMzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.
1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".
2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.
3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".
Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
Hujajibu hoja mkuu, au umeshikwa pabaya nini? Mleta mada anazungumzia juu ya uzalendo feki wa jiwe, wewe unasema jungu, waweza onyesha jungu liko wapi hapo??hakuna jungu dhidi ya Magufuli litakalowafanya wananchi wageuze msimamo
Kwani Makonda kaajiriwa kwenye sekta/idara ipi. Mi navyojua makonda ni mteule hivyo muda wowote anaweza kutenguliwaKama alifuta watu kazi kws ajili ya vyeti fake iweje Bashite aka Makonda bado yupo kazini?
Nimekutajia mtu anaefahamika na wengi na ushahidi upo kwenye public domain.
Ubadhirifu.Mzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.
1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".
2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.
3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".
Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
SureMzalendo wa kweli kwa Tanzania yetu hii (bila kujali msimamo wake kisiasa au kidini) ni lazima atatetea haki, atapinga uonevu na kukataa ubadhilifu, rushwa na ufisadi.
Magufuli anafanya yote yaliyo kinyume na sifa zinazotakiwa kwa mzalendo.
1. Ni mtu asiefuata sheria (unless sheria hiyo inaelekeza anachokipenda muda huo); mtu anaefuata sheria hawezi kamwe kumuambia mtu "akikupa ten percent ichukue....".
2. Sio mkweli na ni kigeugeu. Mtu aniambie kitu chochote ambacho Magufuli amekifanya consistently kwa pande anaoupenda halafu aka-apply the same thing kwa asiempenda.
3. Ni mbadhilifu; angekuwa anapinga ubadhilifu angependa transparency (bungeni na kwenye vyombo vya habari). Lakini alishasema hadharani kuwa anatamani "malaika ashuke na azime mitandao yote".
Niambie uzalendo wa Magufuli nami nikuonyeshe kuku mwenye miguu mitatu.
Habari faizaUbadhirifu.
Andika vizuri wewe.