Ww ni mvivu wakfikiri na kuufanya kazi imekula kwakoJaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Nahis we unaipendapenda me x100000 yakoJaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Je, wanaosubiria ajira mpya nao utawaweka kundi gani? Unafikiri nao ni wapiga dili km ww?Watu wanamchukia Mungu,itakuwa Nchi na Binaadam,
Kawaida tu,wavivu na wapiga dili lazima number muisome.
Mnaelekezwa kwa Mungu,na njia ya kwenda kwa Mungu sio nyepesi kwa kuishi kwa Ujanja Ujanja
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Waambie hao na hii bado trela muvi walaaa haina dalili za kutoka'Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, Serikali yangu itachukiwa kweli kweli na Mafisadi'-JPM
Mliemdekia barabara tulishaona utendaji wake na alieingia jengoni tulishaona utendaji wake pia hapo kabla,hata wewe ni shahidi.mchana mwema ndugu!Huyu kiumbe anakotupeleka siko kiuchumi. Hatukua wajinga kudeki barabara ili mwenye maono apite. Kila mtu sasa ni shahidi, na namba huwa hazidanganyi daima. Mlio tucheka tukideki barabara tuombeni radhi kwa aibu mnayoipata sasa. Push-ups na kuongoza nchi ni kama kusubiri meli Airport.