Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mkuu kabla hajachukua form alitakiwa kabisa awe na maono/vision kwamba nikipata nafasi hii nataka kuipeleka nchi hii pale,yaani sasa hivi angekuwa anatushawi/anatuelimisha watanzania il tukubaliane na vision yake badala yake mambo yamekuwa tofauti.Watu m naomba apewe muda sasa sijui huo muda uko wapi wa kumpa.Any way this is Tz ya ccm
 
Hapo uchumi nikimaanisha macro na sio micro , micro tusubiri viwanda.. labda tutaajiriwa au kupata fursa na sisi kuanzisha viwanda vidogo vidogo, kupitia hivyo labda tutaona maisha yakibadilika na kuwa mazuri,. Ila kuona mabadiliko ya magufuli bado sana , ndio uchumi hauwezi kubadilika hivyo, saiv tumbue minyororo ya ufisadi labda tukishakuwa wasafi ndio ataanza kufanya implemention za kukuza uchumi binafsi.
 
Endelea kutumika kwa kujiehua!
 
Kwani we unajua Mbowe anakokupeleka?
 
Kwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
Jingalao, think critically, JF ni home of GT, ni bora mchango wako ukawa constructive ukifafanua kila mtoa mada alichogusia. Inashangaza mtu unajibu mistari miwili lakini ni pumba tupu. Hii nchi ni yetu sote, kuwa na dira inayoeleweka ni tija kwa ustawi wa nchi. Nchi ikiwa na ustawi ni faida kwa wote, bila kujali mambo ya vyama ambapo mr Jingalao umejipbu kwa muktadha wa ushabiki wa kivyama. Lakini waweza kukuta, muanzisha uzi ni mtu Neutral, lakini anaependa kuona Taifa likivuka,kama ambavyo mimi ni mmoja wa neutral man, Taifa kwanza Itikadi BAADAE
 
Mnaodai hamzungushi mikono tuambieni tunaelekea wapi kiuchumi? Binafsi najaribu kumsoma sielewi hata taifa la viwanda hakuna hatua zozote za tofauti za kumjulisha mtu kwamba tunaelekea kwenye viwanda,tupotupo tu
Chadema taabani bin Hoi. Chezea noti ya lowassa weye
 
Siasa za vyama tumeacha 2015 Wewe mpu..mbavu. hapa tunajadili mwelekeo wa taifa letu. Hayo mawazo yako ya mgando peleka chumbani kwako
 
Lowassa angeingia madarakani matumaini ya kuishi yangeongezeka..
kwanza ni furaha,kuongozwa na mtu umpendae..
utumbuaji wa majipu ni tamaa tu za hela..
nilidhani wachaga ndio wanapenda sana hela kumbe kuna wengine ukimnyima buku tu koo litakauka kwenye vipaza sauti.
 
Umepotea peke yako kwan rais wetu n baba na kipenz cha wanyonge acha fikira hzo jomba JPM n mzalendo w nchi hii
 
Hadi gharama hospitali ya muhimbili zinatozwa dawa na chakula
 
Jinga lao wakati fulani acha akili yako ifanye kazi kams Mungu Alivokujalia unajua kinachoendelea serikalini! Na unajua hali itakavyojuwa mwakani,acha ushabiki kamanda!
 
Matamko tu kibao utendaji SIFURI
  • Najuta kuchukua form ya kugombea Urais
  • Urais sikupewa na mtu bali nimepewa na Mungu (sijui ni Mungu yupi maana hakuna Mungu wa mafisadi)
  • Nitaweka hadharani salary slip yangu (Siku zinayoyoma tu)
  • Nimejitoa kafara (sijui kajitoa kafara kwa nani maana bado anawakingia kifua akina Lugumi na mafisadi wenzie)
  • Nitarudi kijijini nikachunge ng'ombe
  • Nimepiga marufuku uagizaji wa sukari toka nje (matokeo yake wote tunayajua)
  • Bunge live gharama za shilingi bilioni nne kwa mwaka ni kubwa sana (Mbio za mwenge gharama ni 120 billion)
  • Nchi imeharibiwa na Wazee (Yeye alikuwemo ndani ya serikali kwa zaidi ya miaka 2o huku kapiga kimya "akifanya yake")
Ali mradi ni mtu ambaye haeleweki na nchi inayumba kutokana na kushindwa kwa kiwango cha juu kabisa, mara kawaita Mkapa na Kikwete Ikulu mara kenda kumuona Mkapa nyumbani kwake na yote yanayojiri ni siri yao huku nchi ikiendelea kuyumba.
 
Ukimaliza kushangaa uliza.cdm toka wamesajiiwa na kushiriki chaguzi zote wanaajenda ngapi? Na IPO wameisimamia?
 
Huu utawala hautapga hatua katika maendeleo maana JPM ana dhamira nzuri ila watendaji wake hawatak kubadilika.... ataishia panga pangua na siku znaenda.... hakuna priorities, kipi kianze kipi kimalizwe... bajeti za wizara hazi reflect hali halisi.... uhaba wa maisha utazid
 

Sijui kwa kweli tunafikiri nn juu ya hatima ya tz yetu na watoto wetu, yaan watu wamajaa uchadema na uccm tu, hata ukileta jambo jema utapingwa kwa siasa tu. jibu ni moja tu kumaliza hili. Ni kuchanganya viongozi toka ktk vyama mbalimbali. Natambua katiba inavyosema
 
hakuna wanaoamini viongozi wa ccm kama ukawa hasa chadema kwani kwa mabaya yote waliyokuwa wakizungumzia ccm sikutegemea kama wanaweza kuwapokea waliowahi kuwa viongozi wa ccm tena walioshika nyazifa za juu kama lowassa na sumaye ambao siku zote walituaminisha sio wasafi
 
hakuna wanaoamini viongozi wa ccm kama ukawa hasa chadema kwani kwa mabaya yote waliyokuwa wakizungumzia ccm sikutegemea kama wanaweza kuwapokea waliowahi kuwa viongozi wa ccm tena walioshika nyazifa za juu kama lowassa na sumaye ambao siku zote walituaminisha sio wasafi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…