Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.

ikwame Mara mbili
 
Haijawahi kutoka mkuu! Yaani huyu aliyetukana mtumishi wa umma matusi ya nguo nimuheshimu?
oogh basi nikutake radhi mkuu, maana kukufananisha na CCM peke yake hio kwangu ni sawa na tusi, nisamehe sana
 
Ningekuwa mkulu ningefumua wakurugenzi wa halmashauri na kuchagua upya
 
Atakayepinga anapinga tu kwa sababu ya ujinga au unazi maandazi, mara nyingine najiuliza magu alichaguliwa na nani? Maana kati ya vijana 10 ni wawili ndo wanamkumbali au hakuna kabisa
 
type ya kina Gambo imewekwa makusudi na ndicho walichotumwa kufganya,aibu aibu aibu,makorokocho kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…