Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Mkuu Nina mashaka kwa speed hii ya Gari bovu kama 2020 litafika bila kupinduka. Na likipinduka hata ticket haziibiki tenaTangu wagundue namna ya kuiba chaguzi kupitia Tume ya wizi wa kura na chaguzi na mtutu wa bunduki hawana hofu tena ya chaguzi wanajua watashinda tu hata kama watavurunda kwa kiasi gani.