Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Tangu wagundue namna ya kuiba chaguzi kupitia Tume ya wizi wa kura na chaguzi na mtutu wa bunduki hawana hofu tena ya chaguzi wanajua watashinda tu hata kama watavurunda kwa kiasi gani.
Mkuu Nina mashaka kwa speed hii ya Gari bovu kama 2020 litafika bila kupinduka. Na likipinduka hata ticket haziibiki tena
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CCM hawakumpitisha Magufuli ili alete maendeleo walimteua Magufuli ili akinusuru chama kisijekikaangukia pua ndiyo maana hata wateule wa Magufuli mwenyewe wameshindwa kumuelewa boss wao nini anachokitaka na wafanye kitu gani ambacho kitamfurahisha boss wao,matokeo yake wengi wa wateule wa Magufuli wamejikuta wakifanya kazi kwa mazoe ya nyuma ya ujanja ujanja,ubabaishaji na ubabeubabe ili watu waweze kuwatambua kuwa wao ni akina nani,mwisho wanaishia kutumbuliwa na kunauwezekano mkubwa serekali ya Magufuli ndiyo itakayokuwa ya kwanza kuleta maendeleo makubwa ya kutumbuana badala ya kuleta maendeleo ya kiuchumi.
 
Tatizo hapa ni kwateua wasimamizi wasioelewa majukumu yao,ameteua wanasiasa ambao kwa kiasi kikubwa wanawaza kutafuta sifa kwa wananchi ili 2020 wagombee Ubunge. Hawana uzalendo kabisa na wala hawajamwelewa Rais anataka nini.


Kuna uwezekano mkubwa kabisa kufikia 2020 serikali ikashindwa hata kutimiza ahadi zake hata 60%. Sijajua wananchi waliokua wamejiandaa kupokea mabadiliko makubwa kabisa wataambiwa nini?
Mkuu kuelekea 2020 tutalegeza kamba halaf wote mtajisahau tena !
 
Hata sisi watetezi wake mitandaoni anatupa wakati mgumu kumtetea, kama hili la ajira naona wapinzani linawapa Credit.
 
Gari haina sukani Mkuu wengi wa wasafiri tumeshatia shaka na huyu Dreva asiyetaka mtu amcheleweshe kumbe gari yenye haina sukàri ni gari bovu.

Mkuu Nina mashaka kwa speed hii ya Gari bovu kama 2020 litafika bila kupinduka. Na likipinduka hata ticket haziibiki tena
 
Mnaodai hamzungushi mikono tuambieni tunaelekea wapi kiuchumi? Binafsi najaribu kumsoma sielewi hata taifa la viwanda hakuna hatua zozote za tofauti za kumjulisha mtu kwamba tunaelekea kwenye viwanda,tupotupo tu
Msikilize mkulu(bwana viwanda) siku alipokaribishwa kufungua kiwanda cha Bakhresa alisema kile ndio kiwanda chake cha kwanza na kiwanda cha pili ni kile alichomtaka Bakhresa alime miwa na azalishe ze utamu(sukari).
Halafu aliagiza watu(watani wake) wafungue viwanda vya kufyatua watoto. Nafikiri viwanda hivi itakuwa vimeanzishwa kwa wingi tu.

Pia hawa wazee wa matamko walitoa maagizo kwa mifuko ya jamii kujenga viwanda. Hivyo vitakamilika katika miezi 3 ijayo.

Pia tayari serikali "imejenga kiwanda cha kukodisha ndegemapangaboi" kwa ATCL.

Wananchi mjitahidi tu kukaza mikanda na kumpatia Kaisari vitu vyake ili aendelee kutujengea viwanda.

Wenyewe wanatuaminisha uchumi unakuwa kwa mwendokasi sambamba na maisha ya wananchi wa kawaida ,walalahoi yanavyozidi ugumu kwa mwendokasi vilevile.
 
Screenshot_2016-10-19-08-24-36.png


swissme
 
Nitoe hongera kwa wale ambao waliweza kutathimini kwa akili yao ya kuzaliwa kuwa Magufuli hakutakiwa kuchaguliwa na kukabidhiwa kijiti cha urais, kwa watu Wa aina hiyo waliona mbali na naweza kusema kuwa hawa watu ni mageniazi

Mwenye ufahamu na afahamu
Liza utatumbuliwa jijini
 
Nitoe hongera kwa wale ambao waliweza kutathimini kwa akili yao ya kuzaliwa kuwa Magufuli hakutakiwa kuchaguliwa na kukabidhiwa kijiti cha urais, kwa watu Wa aina hiyo waliona mbali na naweza kusema kuwa hawa watu ni mageniazi

Mwenye ufahamu na afahamu
Ubarikiwe Sana mkuu, Magufuli didn't fit to be president.
 
Nitoe hongera kwa wale ambao waliweza kutathimini kwa akili yao ya kuzaliwa kuwa Magufuli hakutakiwa kuchaguliwa na kukabidhiwa kijiti cha urais, kwa watu Wa aina hiyo waliona mbali na naweza kusema kuwa hawa watu ni mageniazi

Mwenye ufahamu na afahamu
Hamna lolote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom