wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,455
- 4,395
ni heri nchi ikwame... ccm iondoke madarakani.
tumechoka kudanganywa.
tumechoka kudanganywa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hapa ni kwateua wasimamizi wasioelewa majukumu yao,ameteua wanasiasa ambao kwa kiasi kikubwa wanawaza kutafuta sifa kwa wananchi ili 2020 wagombee Ubunge. Hawana uzalendo kabisa na wala hawajamwelewa Rais anataka nini.
Kuna uwezekano mkubwa kabisa kufikia 2020 serikali ikashindwa hata kutimiza ahadi zake hata 60%. Sijajua wananchi waliokua wamejiandaa kupokea mabadiliko makubwa kabisa wataambiwa nini?
oogh basi nikutake radhi mkuu, maana kukufananisha na CCM peke yake hio kwangu ni sawa na tusi, nisamehe sanaHaijawahi kutoka mkuu! Yaani huyu aliyetukana mtumishi wa umma matusi ya nguo nimuheshimu?
Jamaa pengine alikua na nia njema, kwa taifa hili lakini mpaka sasa mwelekeo hausomeki kwa nukuu ya mzee Warioba.ikwame Mara mbili
Nami nimekusamehe mkuu, maana hilo tusi linachefua.oogh basi nikutake radhi mkuu, maana kukufananisha na CCM peke yake hio kwangu ni sawa na tusi, nisamehe sana
Kuna mtu alikua na ID kama yako MAHANJU alikua anamsapoti sana jamaa, sijui ni wewe>?