Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Stori tu, watu waache blah blah na siasa za majukwaani, uchaguzi ulishapita...sasa ni kazi tu kujenga nchi!! Mengi uloandika si ya kweli na hayatatokea kamwe, acheni kutumia demokrasia kama kichaka cha kutaka kuvuruga na kurudisha nyuma nia ya dhati kabisa ya kuweka nchi ktk mstari ulonyooka! Mizengwe basi, sasa kazi tu!! Kanyaga twende, Baba Jesca.
sasa kazi ya mwanasiasa ni nini kama mnamkataza asifanye siasa.
mnaogopa nini.
 
Stori tu, watu waache blah blah na siasa za majukwaani, uchaguzi ulishapita...sasa ni kazi tu kujenga nchi!! Mengi uloandika si ya kweli na hayatatokea kamwe, acheni kutumia demokrasia kama kichaka cha kutaka kuvuruga na kurudisha nyuma nia ya dhati kabisa ya kuweka nchi ktk mstari ulonyooka! Mizengwe basi, sasa kazi tu!! Kanyaga twende, Baba Jesca.
Unajenga nini Ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo wewe
 
Uchaguzi ushapita bwana mkubwa, siasa sio kwenye majukwaa tu. Waende bungeni wakafanye kazi za wananchi...! Blah blah hazijengi
siasa sio uchaguzi tu na agenda ya hiyo mikutano sio uchaguzi.
kumsihi Magufuli asikurupuke kwenye issue kama ya sukari au issue ya vijana 7000 wa udom sio kujenga nchi??
mnaogopa nini?
 
Kwahiyo Tanzania ni sukari tu na wanafunzi 7000+ wa UDOM basi, hakuna mengine?? Jifunze kuangalia picha kubwa kwa ukubwa wake...siasa za majukwaani hazijengi.
tanzania sio hayo tu,
kwenye hiyo mikutano pia tutampongeza kuwadhibiti mafisadi dagaa na kuwapuuza kina Lugumi.
mnaogopa nini??
 
Umeongea point sanaaa mkuu ila wachache watakuelewa.

Me napenda ule usemi wa Kenyatta kwamba Nyerere anaongoza mang'ombe.

Sidhani kama hata tukiongelea kila sehemu jinsi demokrasia inavyobakwa watakuelewa.

Mwisho wake tu utaripotiwa police na uiache Familia yako kiasi kutetea haki za mang'ombe.

Tafuta hela mkuu ndo kilichobakia wewe sio Mungu au Yesu waache wafu wazike wafu wao.
 
Mafisiem wameona hawana uwezo wa kujibu hoja za wapinzani kwenye majukwaa ya kisiasa ndiyo wameamua kutumia polisi kuzuia mikutano yao. AIBU SANA KWA CHAMA CHAKAVU HIKI.
 
CCM imepoteza DIRA...By HORACE KOLIMBA (R.I.P.).
 
ucjali mkuu tulikuwa tumeweka auto pilot so ndege ilikuwa inajiongoza yenyewe nw yupo pilot makini na shupavu so sit tight enjoy the flight
 
siasa sio uchaguzi tu na agenda ya hiyo mikutano sio uchaguzi.
kumsihi Magufuli asikurupuke kwenye issue kama ya sukari au issue ya vijana 7000 wa udom sio kujenga nchi??
mnaogopa nini?
Hawa Lumumba utasumbuka sana kuwaelewesha Chaguzi umeisha sawa lakn kuna mambo ya kuweka sawa!Kumshauri Rais
 
Mbowe na kina Lissu wameharibu sana watu humu, yaani hakuna watu walichoona ila ni wanafunzi 7000 na Sukari tu..hicho ndio kupimo cha Rais bora kweli, acheni kukatisha watu tamaa bhna. .kazi ya JPM ni ngumu sana kuliko watu wanavyodhani. .na wale wapinzani ni sehemu ya kazi yao makelele ili watt waendee choo.
Mzee JPM piga kazi utasikia kelele nyingi sana nyuma yako huyoooooo, huyooooo mchinje huyoooooo,
Sukariiiiii, wanafunziiiiiiiii 7000 hakuna kugeuka mpaka 2020 uchaguzi mwingine.
 
Mnaotaka Magufuli asikosolewe hamumtakii mema, hamuitakii nchi mema.

Kazi ya upinzani si kutoa sifa na pongezi kwa uongozi uliopo madarakani ila ni kuonesha 'mbadala' au gaps za uongozi huo, na serikali inapaswa kuangalia ushauri au mawazo mbadala na kuyafanyia kazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom