Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wewe ndio unawaza...20 inamuhusuHuyu hata mitano hataimaliza.
Nawaza tu sasa hivi wenye nazo,wenye magari,majumba mazuri wanavyojipanga....kumsachi mtu chumbani sio kazi ndogoTamko la kuzingira na kusaka pesa kwenye majumba ya matajiri litolewe
Hanna hats hati ya mashitaka,mashahidi,hukumu? Atahukumu yeye hapohapo au?
Mie zamani nilijua mtu akiwa amekwenda kuishi majuu ni kichwa kweli kweli.yaani wewe nyani hadi leo hujui mkuu ana nia gani .wewe ulitaka uambiwe vipi kwa mfanoBinafsi nadhani ana nia nzuri.
Lakini sidhani anajua anakoelekea.....
Yupo yupo tu.
Tuombe uzima yangu machoNi wewe ndio unawaza...20 inamuhusu
Whos TCRA? Max Melo unadhani wapo wapo tuu..?TCRA is following
Tumepata Mfalme jjuhanimesikiliza kauli kadhaa alizotoa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa john pombe magufuli, moja wapo ya kauli iliyonitisha na kunifanya niogope huko tuendako ni kumshauri mheshimiwa shein kutosain stahiki za maalim seif zilizopo kisheria kwa sababu tu hakupewa mkono msibani. kama baba mlezi ndo kwanza ameongeza mvutano badala kuupunguza mvutano. sidhani kama tutakuwa sahihi kuamini kuwa vyombo vya ulinzi vinatosha kuleta amani na utulivu endapo wananchi watagawanyika. pia binafsi naamini jambo lolote ambalo idadi ya watu wanaolipinga ni sawa au ina karibiana na ile idadi ya watu wanaolikubali basi jambo hilo litatuliwe kwa uangalifu mkubwa sana na ndo maana huwa linatumika neno kutafuta maridhiano kama lina husisha kikundi cha watu wachache basi huwez sikia neno maridhiano. kama mtazamo wangu sio sahihi karibuni kwa hoja. ila pia naomba ieleweke wazi kuwa sio kwamba naunga mkono kitendo cha maalimu seif kutosalimiana na shein
Uvivu wa kufikiri tu.Nimekuelewa, kumbe dola ikiwa juu export inaweza kuongezeka sababu dola kidogo kwa pesa ya ndani nyingi ambapo wafanya biashara wengi watakimbilia kufanya biashara
sasa kwanini wanauchumi wao wanapima uchumi kwa kupanda kwa thamani ya pesa wakilinganisha na dola? Na mimi ndo niliwakariri wao, ukiona tu uchumi umeyumba wanawahi kusema dola imepanda.