Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Angalia mapango wa utekelezaji wa Ilani ya CCM ya uchaguzi mkuu wa 2015_2020
 
Binafsi nadhani ana nia nzuri.

Lakini sidhani anajua anakoelekea.....

Yupo yupo tu.

Nyie ndio mpo mpo tu...kila siku mpo mpo tu JF na kujifanya wajuzi wakati wengi wenu ni vilaza tu na choka mbaya. Acheni majungu vijana fanyeni kazi!!
 
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....

Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.

Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa..
Nafikili umeeleweka mkuu
 
Kwa hili la Gumbo linaloendelea Arusha linadhihirisha kuwa hajui anapoelekea.
 
Nini maana ya ujinga ni kuamini Kila kitu unacho ambiwa na mzungu Bila wewe kufanya utafiti katika nchi yako, lini tuta kuwa tuna jiamulia maamuzi sisi wenyewe kama taifa lililo jikomboa katika ukoloni mambo Leo. Mzungu akifanya research akisema Tanzania wote mashoga watu watachukulia poa Na kuamini ni kweli Ila waafrika akisema Tanzania ni inchi inayo endelea watu wata m crash siku Zote kisa mweusi

Is the problem color au many of African wana westernized mind

Leo hii Gaddafi ameuliwa ndani ya mikono ya wazungu na kisa tu alikuwa ana hifathi kubwa ya mafuta ,dhahabu na mandeleo, Hugo chaveZ yuko wapi, Patrick Lumumba yuko wapi??, Alafat ??

Usifikili wazungu wanapenda Tanzania iendelee na iwe taifa kubwa kichumi

Sikuzote usifikili mtu anae Fanya mandeleo katika nchi yake ana pendwa na watu wa maghalibi

Nilitegemea wana jamii forum mtakuwa na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo Lakini sivyo umefika mda watu wanaomba ata ndege zilipuke au nchi ishuke kiuchumi

We need to help the country isonge mbele Ila mkika kusikiliza wazungu hakika Tanzania itakuwa kama central Africa in the coming days
 
Nini maana ya ujinga ni kuamini Kila kitu unacho ambiwa na mzungu Bila wewe kufanya utafiti katika nchi yako, lini tuta kuwa tuna jiamulia maamuzi sisi wenyewe kama taifa lililo jikomboa katika ukoloni mambo Leo. Mzungu akifanya research akisema Tanzania wote mashoga watu watachukulia poa Na kuamini ni kweli Ila waafrika akisema Tanzania ni inchi inayo endelea watu wata m crash siku Zote kisa mweusi

Is the problem color au many of African wana westernized mind

Leo hii Gaddafi ameuliwa ndani ya mikono ya wazungu na kisa tu alikuwa ana hifathi kubwa ya mafuta ,dhahabu na mandeleo, Hugo chaveZ yuko wapi, Patrick Lumumba yuko wapi??, Alafat ??

Usifikili wazungu wanapenda Tanzania iendelee na iwe taifa kubwa kichumi

Sikuzote usifikili mtu anae Fanya mandeleo katika nchi yake ana pendwa na watu wa maghalibi

Nilitegemea wana jamii forum mtakuwa na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo Lakini sivyo umefika mda watu wanaomba ata ndege zilipuke au nchi ishuke kiuchumi

We need to help the country isonge mbele Ila mkika kusikiliza wazungu hakika Tanzania itakuwa kama central Africa in the coming days


Nitoe hongera kwa wale ambao waliweza kutathimini kwa akili yao ya kuzaliwa kuwa Magufuli hakutakiwa kuchaguliwa na kukabidhiwa kijiti cha urais, kwa watu Wa aina hiyo waliona mbali na naweza kusema kuwa hawa watu ni mageniazi

Mwenye ufahamu na afahamu
 
Sijutii kuwa genius.
Nini maana ya ujinga ni kuamini Kila kitu unacho ambiwa na mzungu Bila wewe kufanya utafiti katika nchi yako, lini tuta kuwa tuna jiamulia maamuzi sisi wenyewe kama taifa lililo jikomboa katika ukoloni mambo Leo. Mzungu akifanya research akisema Tanzania wote mashoga watu watachukulia poa Na kuamini ni kweli Ila waafrika akisema Tanzania ni inchi inayo endelea watu wata m crash siku Zote kisa mweusi

Is the problem color au many of African wana westernized mind

Leo hii Gaddafi ameuliwa ndani ya mikono ya wazungu na kisa tu alikuwa ana hifathi kubwa ya mafuta ,dhahabu na mandeleo, Hugo chaveZ yuko wapi, Patrick Lumumba yuko wapi??, Alafat ??

Usifikili wazungu wanapenda Tanzania iendelee na iwe taifa kubwa kichumi

Sikuzote usifikili mtu anae Fanya mandeleo katika nchi yake ana pendwa na watu wa maghalibi

Nilitegemea wana jamii forum mtakuwa na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo Lakini sivyo umefika mda watu wanaomba ata ndege zilipuke au nchi ishuke kiuchumi

We need to help the country isonge mbele Ila mkika kusikiliza wazungu hakika Tanzania itakuwa kama central Africa in the coming days
 
dah hata mimi nawaomba radhi sana wale wote niliowashawishi kumchagua magufuli
Nini maana ya ujinga ni kuamini Kila kitu unacho ambiwa na mzungu Bila wewe kufanya utafiti katika nchi yako, lini tuta kuwa tuna jiamulia maamuzi sisi wenyewe kama taifa lililo jikomboa katika ukoloni mambo Leo. Mzungu akifanya research akisema Tanzania wote mashoga watu watachukulia poa Na kuamini ni kweli Ila waafrika akisema Tanzania ni inchi inayo endelea watu wata m crash siku Zote kisa mweusi

Is the problem color au many of African wana westernized mind

Leo hii Gaddafi ameuliwa ndani ya mikono ya wazungu na kisa tu alikuwa ana hifathi kubwa ya mafuta ,dhahabu na mandeleo, Hugo chaveZ yuko wapi, Patrick Lumumba yuko wapi??, Alafat ??

Usifikili wazungu wanapenda Tanzania iendelee na iwe taifa kubwa kichumi

Sikuzote usifikili mtu anae Fanya mandeleo katika nchi yake ana pendwa na watu wa maghalibi

Nilitegemea wana jamii forum mtakuwa na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo Lakini sivyo umefika mda watu wanaomba ata ndege zilipuke au nchi ishuke kiuchumi

We need to help the country isonge mbele Ila mkika kusikiliza wazungu hakika Tanzania itakuwa kama central Africa in the coming days
 
kha! hii nchi inavikorombwezo!! ha ha ha am watching the movie😀
 
Wanajamii,mbona kaka mama angebahatika kuwa rais wa jamuhuri,angeweza kuwa kiongozi makali zaidi kuliko mkuu?
Kwa huu muda wa mwaka mmoja nimefanya tafiti,nimegundua,mama alitufaa zaidi kwenye kuwa amrijeshi mkuu,mama ana sifa zinazofaa,mnyenyekevu,asiyeropoka,asiyechukia wapinzani wake wa kisia
Hayo ni maoni yangu,mm sijawai hata kufikiria kupigia kura ccm,lkn nimeangalia utendaji wa mama,nikagundua,ni makali zaidi kuliko mkuu ana sifa zote,za kiongozi,amemzidi sana mkuu,kama trip,na mama Hilary Clinton vile
 
Wanajamii,mbona kaka mama angebahatika kuwa rais wa jamuhuri,angeweza kuwa kiongozi makali zaidi kuliko mkuu?
Kwa huu muda wa mwaka mmoja nimefanya tafiti,nimegundua,mama alitufaa zaidi kwenye kuwa amrijeshi mkuu,mama ana sifa zinazofaa,mnyenyekevu,asiyeropoka,asiyechukia wapinzani wake wa kisia
Hayo ni maoni yangu,mm sijawai hata kufikiria kupigia kura ccm,lkn nimeangalia utendaji wa mama,nikagundua,ni makali zaidi kuliko mkuu ana sifa zote,za kiongozi,amemzidi sana mkuu,kama trip,na mama Hilary Clinton vile

Mpinzani gani kachukiwa kwa mfano kama ni mbowe kulipa deni la NHC zile ni pesa za watanzania kwa ajili ya kuendeleza watanzania,
Tanzania ni BORA KULIKO VISACOS VYETU UCHWARA,
 
NI KWELI KABISA

Mama ana HEKIMA
Mama ana UTU
Mama ana KUJALI
Mama ana HURUMA
Mama ni MUELEWA

Mama ni mama, Huyu Mwingine kwenye mahali pa kutumia HEKIMA yeye anatumia UBABE

Penye mahali pa kuonesha UTU, HURUMA na Mazungumzo yeye atatumia AMRI.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom