CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Hili ni ombi kwa mheshimiwa raisi kiukweli si ombi la kupuuzwa nchi inaelekea sehem ambayo si salama kabisa kuna mambo mengi yanatokea mabaya zaidi tunayoyajua na tusiyoyajua huu ni wakati mgumu sana zaidi ya ufikiriavyo kwa taifa letu inabidi tumweke Mungu asimame kutuongoza kuvuta salama katika kipindi hiki hivyo naomba mheshimiwa raisi tangaza japo siku moja tu watanzania wote tufunge Na kuliombea taifa tena kwa kulithamini hilo wewe kama kiongozi ndo uwe wa mfano
Kweli ndugu zangu haya mambo yanayotokea hapa kuna kitu ambacho kinaendelea kisichoonekana kimwili lakini tukiungana kumwomba Mungu naamini atatuepusha Na mengi yanayokuja
Muhimu sana
Mungu yupi