The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,397
- 1,786
Hapa kazi tu is public scope of view not private. Anaanza na hilo then hayo mengine yatakuja automatically kwa wakati wake.
Vipi kwani kwenu viwanda,barabara,viwanja vya ndege na hospitali havijengwi? Huku kwetu mambo mswano.
Vipi kwani kwenu viwanda,barabara,viwanja vya ndege na hospitali havijengwi? Huku kwetu mambo mswano.