Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Neema ipi wakati kafuta ajira? Kawanyima watoto weng mikopo? Helsb 15% tunaelekea wapi? Km haya yote yamemshinda. Au huyo Lissu ndiyo neema mwenyew?
siku moja Lissu akitangaza kugombea urais 2020 nadhani mbingu zitashuka kumpongeza. huo ndio utakuwa ukombozi wa kweli.
 
salamu wanabodi!
ghafla nimejikuta sina furaha, sina amani na wala sifurahi tena kuitwa mtanzania.Mwanzoni alipo ingia madarakani nilimpenda sana Rais Magufuli kwakuwa mambo mengi aliyo yafanya yalikuwa yana rudisha Tanzania tuliyo itaka.Baada ya miezi michache akageuka kuwa mbinafsi, anaonesha chuki za wazi kwa watumishi wa umma, Hafuati misingi na kanuni za uendeshaji wa taasisi za serikali, hafuati matumizi sahihi ya fedha za umma, kimsingi amegeuza Nchi hii ni mali yake binafsi.

Kwanini ghafla simpendi? Fikiria Rais mwenyewe aliagiza uhakiki wa watumishi wa umma akisisitiza wasio na sifa waondolewe kwenye payroll.Zoezi lile liliwagharimu watumishi wa umma muda na fedha nyingi kufuatilia taarifa zao ili zihakikiwe.Jumla ya watu 1887 wamepoteza ajira baada ya kubainika taarifa zao za taaluma kuwa na kasoro ama mapungufu.lakini alisimamisha nyongeza za mishahara na kulipa mishahara ya madaraja mapya kwa kisingizio hiki.Leo Bashite kajulikana hana vyeti anapata kigugumizi kumtoa kwenye utumishi wa umma! kwanini? ni msukuma mwenzake!! ni mkabila.

Kwangu mimi kitendo cha Magufuli kuidhinisha ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege Chato ni matumizi mabaya ya fedha za umma.uwanja ule nani atatumia? Kama anawapenda watu wa Chato ni bora angewajengea chuo kikuu kwani hata mtu mojammoja angeweza kufaidika na uwepo wa chuo kikuu kuliko uwanja wa ndege.

Amevuruga taratibu serikalini.Magufuli kwa sababu za kibinafs kabisa ameajiri wakurugenzi na Ma DAS nje ya kanuni za utumishi wa umma.sasa hivi watumishi wa umma hawana ari ya kazi kabisa.

Matamko yake mengi yamenifanya nifikie uamuzi wa kuto kumsikiliza kabisa. Huwezi kuwaambia wabunge wa ccm walio panga kwenda kumjulia Lema gerezani ni usaliti wa chama. Najiuliza Lema aliwekwa ndani kwa maelekezo ya Chama? siamini. Hivi Magufuli hajui kuwa kuna wana ccm walio oa wanachadema? hivi hajui kuwa ndani ya familia moja unaweza kuona wanachama wa vyama vyote? huko ni kuwagawa watanzania.

Magufuli huwa anaomba tumuombee kwa Mungu, sawa, mbona yeye haoneshi kuwaombea watanzania wawe na amani upendo na kuvumiliana? CUF,Kwenye vikao halali wamemfukuza Lipumba, lakini fedha za ruzuku ameruhusu apewe mtu ambaye siyo mwanachama yaani Lipumba! Magufuli ni msimamizi namba moja wa fedha za umma, kwanini anaruhusu ujinga huu wa msajiri wa vyama? Aheshimu maamuzi halali ya vya vingine. kulazimisha Lipumba kuiongoza CUF iko siku itatuletea maafa makubwa sana.

Kuna manung'uniko kuwa wateule wake wengi wanatoka kanda pendwa.Jambo hili siyo la kulipuuza. teuzi lazima zifuate kanuni za kitaasisi.Lakini pia zizingatie gender balance, dini,na ziwe na mtawanyiko mzuri kikanda. watumishi wa umma wanao tumbuliwa sababu za kutumbuliwa kwao wengi ni nyepesi mno hivyo kuleta maneno kuwa ni kulipa visasi.

Siku hizi watu hawapendi kuangalia au kusikiliza taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Ni kama wamechoka na mabadiliko yasiyo na maana.

Mapungufu ni mengi, ndio maana nasema binafsi namuombea atawale amalize muda wake hata kama ni miaka kumi,huenda Mungu anataka kutufundisha kitu, ila siku akimaliza nitafurahi sana ingawa nitakuwa na miaka 89.
Sa sijui itakuwa lini cz wengine hapa tunaomba abadili katiba atawale mpaka 2030. Akibadili katiba ntalukaluka mpaka miguu ivunjike.
 
Sa sijui itakuwa lini cz wengine hapa tunaomba abadili katiba atawale mpaka 2030. Akibadili katiba ntalukaluka mpaka miguu ivunjike.
watu wa aina yako mko wachache kwani hata huko kwenye chama chenu watu lukuki wamemchoka.
 
Mimi naamini hata hicho kipindi cha kuongoza miaka 10 hatokimaliza salama akiendelea huu udikteta wake.
 
salamu wanabodi!
ghafla nimejikuta sina furaha, sina amani na wala sifurahi tena kuitwa mtanzania.Mwanzoni alipo ingia madarakani nilimpenda sana Rais Magufuli kwakuwa mambo mengi aliyo yafanya yalikuwa yana rudisha Tanzania tuliyo itaka.Baada ya miezi michache akageuka kuwa mbinafsi, anaonesha chuki za wazi kwa watumishi wa umma, Hafuati misingi na kanuni za uendeshaji wa taasisi za serikali, hafuati matumizi sahihi ya fedha za umma, kimsingi amegeuza Nchi hii ni mali yake binafsi.

Kwanini ghafla simpendi? Fikiria Rais mwenyewe aliagiza uhakiki wa watumishi wa umma akisisitiza wasio na sifa waondolewe kwenye payroll.Zoezi lile liliwagharimu watumishi wa umma muda na fedha nyingi kufuatilia taarifa zao ili zihakikiwe.Jumla ya watu 1887 wamepoteza ajira baada ya kubainika taarifa zao za taaluma kuwa na kasoro ama mapungufu.lakini alisimamisha nyongeza za mishahara na kulipa mishahara ya madaraja mapya kwa kisingizio hiki.Leo Bashite kajulikana hana vyeti anapata kigugumizi kumtoa kwenye utumishi wa umma! kwanini? ni msukuma mwenzake!! ni mkabila.

Kwangu mimi kitendo cha Magufuli kuidhinisha ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege Chato ni matumizi mabaya ya fedha za umma.uwanja ule nani atatumia? Kama anawapenda watu wa Chato ni bora angewajengea chuo kikuu kwani hata mtu mojammoja angeweza kufaidika na uwepo wa chuo kikuu kuliko uwanja wa ndege.

Amevuruga taratibu serikalini.Magufuli kwa sababu za kibinafs kabisa ameajiri wakurugenzi na Ma DAS nje ya kanuni za utumishi wa umma.sasa hivi watumishi wa umma hawana ari ya kazi kabisa.

Matamko yake mengi yamenifanya nifikie uamuzi wa kuto kumsikiliza kabisa. Huwezi kuwaambia wabunge wa ccm walio panga kwenda kumjulia Lema gerezani ni usaliti wa chama. Najiuliza Lema aliwekwa ndani kwa maelekezo ya Chama? siamini. Hivi Magufuli hajui kuwa kuna wana ccm walio oa wanachadema? hivi hajui kuwa ndani ya familia moja unaweza kuona wanachama wa vyama vyote? huko ni kuwagawa watanzania.

Magufuli huwa anaomba tumuombee kwa Mungu, sawa, mbona yeye haoneshi kuwaombea watanzania wawe na amani upendo na kuvumiliana? CUF,Kwenye vikao halali wamemfukuza Lipumba, lakini fedha za ruzuku ameruhusu apewe mtu ambaye siyo mwanachama yaani Lipumba! Magufuli ni msimamizi namba moja wa fedha za umma, kwanini anaruhusu ujinga huu wa msajiri wa vyama? Aheshimu maamuzi halali ya vya vingine. kulazimisha Lipumba kuiongoza CUF iko siku itatuletea maafa makubwa sana.

Kuna manung'uniko kuwa wateule wake wengi wanatoka kanda pendwa.Jambo hili siyo la kulipuuza. teuzi lazima zifuate kanuni za kitaasisi.Lakini pia zizingatie gender balance, dini,na ziwe na mtawanyiko mzuri kikanda. watumishi wa umma wanao tumbuliwa sababu za kutumbuliwa kwao wengi ni nyepesi mno hivyo kuleta maneno kuwa ni kulipa visasi.

Siku hizi watu hawapendi kuangalia au kusikiliza taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Ni kama wamechoka na mabadiliko yasiyo na maana.

Mapungufu ni mengi, ndio maana nasema binafsi namuombea atawale amalize muda wake hata kama ni miaka kumi,huenda Mungu anataka kutufundisha kitu, ila siku akimaliza nitafurahi sana ingawa nitakuwa na miaka 89.
Kwa pressure unayojipa,si ajabu ukafa kabla ya Magufuli kumaliza muda wake
 
salamu wanabodi!
ghafla nimejikuta sina furaha, sina amani na wala sifurahi tena kuitwa mtanzania.Mwanzoni alipo ingia madarakani nilimpenda sana Rais Magufuli kwakuwa mambo mengi aliyo yafanya yalikuwa yana rudisha Tanzania tuliyo itaka.Baada ya miezi michache akageuka kuwa mbinafsi, anaonesha chuki za wazi kwa watumishi wa umma, Hafuati misingi na kanuni za uendeshaji wa taasisi za serikali, hafuati matumizi sahihi ya fedha za umma, kimsingi amegeuza Nchi hii ni mali yake binafsi.

Kwanini ghafla simpendi? Fikiria Rais mwenyewe aliagiza uhakiki wa watumishi wa umma akisisitiza wasio na sifa waondolewe kwenye payroll.Zoezi lile liliwagharimu watumishi wa umma muda na fedha nyingi kufuatilia taarifa zao ili zihakikiwe.Jumla ya watu 1887 wamepoteza ajira baada ya kubainika taarifa zao za taaluma kuwa na kasoro ama mapungufu.lakini alisimamisha nyongeza za mishahara na kulipa mishahara ya madaraja mapya kwa kisingizio hiki.Leo Bashite kajulikana hana vyeti anapata kigugumizi kumtoa kwenye utumishi wa umma! kwanini? ni msukuma mwenzake!! ni mkabila.

Kwangu mimi kitendo cha Magufuli kuidhinisha ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege Chato ni matumizi mabaya ya fedha za umma.uwanja ule nani atatumia? Kama anawapenda watu wa Chato ni bora angewajengea chuo kikuu kwani hata mtu mojammoja angeweza kufaidika na uwepo wa chuo kikuu kuliko uwanja wa ndege.

Amevuruga taratibu serikalini.Magufuli kwa sababu za kibinafs kabisa ameajiri wakurugenzi na Ma DAS nje ya kanuni za utumishi wa umma.sasa hivi watumishi wa umma hawana ari ya kazi kabisa.

Matamko yake mengi yamenifanya nifikie uamuzi wa kuto kumsikiliza kabisa. Huwezi kuwaambia wabunge wa ccm walio panga kwenda kumjulia Lema gerezani ni usaliti wa chama. Najiuliza Lema aliwekwa ndani kwa maelekezo ya Chama? siamini. Hivi Magufuli hajui kuwa kuna wana ccm walio oa wanachadema? hivi hajui kuwa ndani ya familia moja unaweza kuona wanachama wa vyama vyote? huko ni kuwagawa watanzania.

Magufuli huwa anaomba tumuombee kwa Mungu, sawa, mbona yeye haoneshi kuwaombea watanzania wawe na amani upendo na kuvumiliana? CUF,Kwenye vikao halali wamemfukuza Lipumba, lakini fedha za ruzuku ameruhusu apewe mtu ambaye siyo mwanachama yaani Lipumba! Magufuli ni msimamizi namba moja wa fedha za umma, kwanini anaruhusu ujinga huu wa msajiri wa vyama? Aheshimu maamuzi halali ya vya vingine. kulazimisha Lipumba kuiongoza CUF iko siku itatuletea maafa makubwa sana.

Kuna manung'uniko kuwa wateule wake wengi wanatoka kanda pendwa.Jambo hili siyo la kulipuuza. teuzi lazima zifuate kanuni za kitaasisi.Lakini pia zizingatie gender balance, dini,na ziwe na mtawanyiko mzuri kikanda. watumishi wa umma wanao tumbuliwa sababu za kutumbuliwa kwao wengi ni nyepesi mno hivyo kuleta maneno kuwa ni kulipa visasi.

Siku hizi watu hawapendi kuangalia au kusikiliza taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Ni kama wamechoka na mabadiliko yasiyo na maana.

Mapungufu ni mengi, ndio maana nasema binafsi namuombea atawale amalize muda wake hata kama ni miaka kumi,huenda Mungu anataka kutufundisha kitu, ila siku akimaliza nitafurahi sana ingawa nitakuwa na miaka 89.
Pole sana kwa sababu tumeisha amua kumpatia muda wa kutosha, miaka kumi haitoshi kuinyoosha nchi iliyopindishwa kwa miaka 50!, hivyo tumependekeza tumpe angalau miaka 20 or indefinite term kama ya Mugabe, Museveni na Kagame.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Hivyo utasubiri sana! .
Paskali
 
Kukaya nampala!!!!tujage geteeeeee!hamo wasaya.Dah! Ninapita tu ila ninatamani goko atawale hadi miaka mia moja tu baada ya hapo tunamuachia mtoto wa TLSU.
 
Yaan hadi Leo sijaelewa lengo la magufuli ni nini...mwanzoni wakat anahakiki wafanyakaz hewa na kutumbua majipu mbali mbali nikajua soon mambo yatakuwa mazuri

Kumbe kila kukicha afadhali ya Jana dah
 
Maguful atamaliza 2020 atapigiwa kura tena atashinda. Tuweni wavumilivu tu mpaka 2025
 
m ntajitahidi kufanya sherehe nzuri cku iyo tuombe uzima tu cjawahi kumwelewa kbsa uyu mtu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom