Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Bandiko lako lingesomeka tusio kuwa na vyama tukutane hapa!
Siyo kweli! Bandiko liko poa tu! Linataka watu wanaoweza kufikiri nje ya box la vyama hata kama wanavyo! Huu ni muunganiko wa wazalendo wa kweli! Watu wenye uchungu wa kweli na nchi yao! Watu wanaotanguliza utu mbele na maslahi nyuma!
 
Kwa kweli kuna umuhimu wa kuungana na yeyote yule aliye madhubuti na tayari kuwaondoa huyu mkoloni mweusi Tanzania.
Tukutane 2020 tukinia mamoja.
Together we can.
Vugu vugu lianze mapema! Tuanze kwa kudai katiba mpya kama ilivyopendekezwa na wananchi kupitia tume ya Warioba! Ina kipengele cha mgombea binafsi!
Tutafute mgombea binafsi ambaye hana makando kando ya kichama! Vyama vya upinzani vimetuangusha! Chama tawala kimetuangusha! Tumtafute MUSA wetu atakayetutoa utumwani Misri! Serious!
 
Wanunulieni ndugu zenu smartphone ziko mpaka za alfu 60,wawe wanaingia mitandaoni kutoa tongotongo
Wewe umetoa bonge la point! Tujenge uelewa wa ndugu zetu walioko vijijini kwa kuwapasha habari lupitia mitandao ya kijamii! Kila mtu ahakikishe kuwa familia yake iliyoko kijijini wanakuwa na smartphone na tunawaunganisha kwenye mitandao ya kijamii na tunakuwa tunawalipia bando hata Mara moja moja!
 
Mkuu angalia na ww wasije kukuteka. Siku hiz tunaishi kwa hofu sana kwasbb ya utekaji nyara unaofanywa na Bashite na genge lake.
Angalia views inaonesha kwa jins gan watu wanavyoumizwa
 
Kwa akili yako ndogo unadhani ccm haina watu?Huwezi kuitoa ccm madarakani kwa kukutana jamii forums
Haina tena wafuasi wa hiari! Wamebaki wale ambao maslahi yao ya moja kwa moja yanategemea ccm kama Bashite!
 
Haina tena wafuasi wa hiari! Wamebaki wale ambao maslahi yao ya moja kwa moja yanategemea ccm kama Bashite!
Unaota,na ndio makosa mnayoyafanya kila mwaka ku under estimate uwezo wa ccm,mkiangukia pua mnalalamika mmeibiwa kura.
 
Sikuwahi kufikiria kufanya kazi serkalini na sijawahi kuichukia na madeni yao na mikopo ya masomo na mazagazaga yote niliwalipa na bado sitaichukia chini ya uongozi wa Rais yeyote aliyepita, aliyepo na ajaye....I love my country TZ
 
Wengi tunaumizwa na serikali hii ya awamu ya tano. Tunakatishwa tamaa na serikali hii ya awamu ya tano. Tunapuuzwa. Tunaonewa. Tunadhalilishwa. Tunadhihakiwa. Ndugu zetu wanapotea. Ndugu zetu wanaumizwa. Ndugu zetu wananyanyaswa. Ndugu zetu wanatishwa. Hakuna wa kuwatetea. Hakuna anayejali.

Tupeanae faraja. Tujengane kisaikolojia. Tuungane kwa maumivu yetu. Tutafute majibu kwa pamoja. Tutafute adhabu inayostahili kwa serikali ya awamu ya tano.

Wafanyabiashara. Mama ntilie. Wafanyakaz/watumishi. Wakulima. Wafugaji. Wavuvi. Madereva. Wakandarasi. Vijana. Akina mama. Wazee. Wasomi. Wanaolala njaa. Tuungane, tuiadhibu CCM na serikali yake.

Hatuwezi kukombolewa na vyama vya upinzani. Hatuwezi kukombolewa na wazungu. Hatuwezi kukombolewa na Mbowe ,Maalim ,Lipumba wala Zitto. Hatuwezi kukombolewa na CHADEMA, CCM, CUF. Hatuwezi kukombolewa na Rais Magufuli.

Njia pekee ya kujikomboa ni kuungana. Ni kupambana na kila fikra hasi bila kujali imetolewa na nani. Njia pekee ni kuamua leo ni namna gani tuendeshwe sio wao watuamulie namna gani watuendeshe. Muda ni sasa. Tuchukue hatua. Tujikomboe.

Kila kundi tuna wajibu wa kujikomboa kwa kuweka tofauti zetu pembeni na kuungana.

Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Africa.

Afsa ni ngumu sana kwa hapa maana 90% ni mazombi

Jiungeni muunde jeshi la wokovu
 
tokea hii serikali iingie madarakani hamna jambo la maana walilolifanya zaidi ya mihemuko mibaya inayotutia hasara nchini maswala kama fao la kujitoa hasa kwa karne hii ni kitu cha maana irudishwe ,vyeti feki wameumiza wengi lakini mbona polisi jeshi umepita kama geresha vip wenye vyeti vya ulakini kama bashite,lamek madelu na wa nondi wanapeta vip mbona madawa hamna hospitali mbona mishahara midogo vp matamko ya mwanzo yameishia wapi je mbona umezidi kuwa bwana mikopo je deni la taifa mbona limepaa sana ,ni kipi ulichotengeneza ? huu ndio utawala wa kwanza watu kuishi kwa hofu toka uhuru washauri wako si wema kwa taifa letu mlo mmoja mpaka desh kwa siku kwa maeneo yaliyokupa kura nyingi ,muda wa kutumia wazalendo wewe unawaweka ndani na kuwapoteza badala ya kuwatumia taifa liwe na mikataba mizuri ,unalalamika mikataba mibovu wakati ulikuwa mmoja wa mawaziri maarufu enzi mikataba inasainiwa je ulitiwa gundi mdomoni tafakari miaka mitano itaisha utakuwa kama sisi watanzania unaotutukana kila siku,kwenye utawala huu kumetokea habari za hovyo kuliko kipindi chote cha taifa hili mkuu wa mkoa kuvamia tu taasisi sababu za umbea ,kupotea kwa watu hivi hata aibu haipo kwenu! maigizo kila kona chuki nzito nzito kana kwamba sio wa tz cc nape,s simba na huu ndio utawala ambapo mawaziri wamekuwa wanafki kuliko wanakuchekea lakini moyoni wanajua wananchi wanaumia ila basi tu,iweje polisi wawe tra ni tz tu je ni Watanzania wangapi wanaweza agiza gari brand new zaidi ya bashite sisi yetu ni haya haya tunajitahidi kwa kiasi chetu kuziboresha .jua mungu anakuona
 
mie naona kama wanafanya mambo mengi kwa wakati mmoja,wakikosea wanaenda kwenye tamko lingine,hili wakiona halifai wanaenda kwenye lingine,wangestick na moja,kama lina udhaifu walikomalie mpaka kieleweke,sio kuacha na kukimbilia lingine.
 
si wote, na wengi kivile,umefanya tafiti wangapi wasomaji idadi ndani ya jukwaa?
Sehumu nilipo mimi hata jamii forum hawajui ni nini na faida ipi,amini nakwambia.wapo bize na movi za mieleka na vita+mpira wamemaliza.
 
si wote, na wengi kivile,umefanya tafiti wangapi wasomaji idadi ndani ya jukwaa?
Sehumu nilipo mimi hata jamii forum hawajui ni nini na faida ipi,amini nakwambia.wapo bize na movi za mieleka na vita+mpira wamemaliza.

hata kama members wako 20 bado ni sample inayo present taifa kwa ujumla,humu kuna wanawake na wanaume,wa vyeo na elimu mbali mbali,kuna watoto wakubwa na wazee,sijui umenielewa?
 
Ukiwa una akili za kinyumbu za kushikiwa na gastura utaona hivyo ila ukiwaza kwa ubongo wako basi utaona lililofanywa.
Hollow head
 
Wewe tangu uzaliwe ni jambo gani la maana umeshafanya ?
Go to hell mother***cker saa yy Ndio comnder in chief, yy Ndio tumempa dhamana ya kutuongoza?, yy Ndio anakusanya kodi zetu!?, Au unafikir kwa kutumia makalio!? Pumbafu wahed
 
Go to hell mother***cker saa yy Ndio comnder in chief, yy Ndio tumempa dhamana ya kutuongoza?, yy Ndio anakusanya kodi zetu!?, Au unafikir kwa kutumia makalio!? Pumbafu wahed
Nilijua tu, Matusi ndio SERA ya BAVICHA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom