sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Mi naishi yombo mwaka wa kumi huu..ndio nakusikia wewe..huku tishio walikuwa mateja na panya road..kwa sasa hatujui hata walipoelekea..usilete porojo.Matukio ya mauaji yamejaa ,nenda huko gomsi,chanika yombo au mbagala nk uwaulize wakazi wanaoishi huko hali ya usalama ipoje halafu ulete mrejesho hapa.
Wengi wanakaa kimya kwa kuwa ukisema kweli kuna mawili either ufunguliwe kesi ya uchochezi au wakutumie watu wakuja kukuteka
Wewe chukulia mfano roma walivyomteka na kumtesa lakini anaogopa kusema ukweli anahofia mkwala waliomchimba.
Suala la Roma analijua yeye binafsi..hakuna mwenye kujua zaidii yake..uncholeta hapa ni mbwembwe tu za kisiasa.