Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Maisha hayajirudii Mara mbili tunahitaji kupiga hatua, tunataka maamuzi yenye tija kwa nchi sio maamuzi yenye hasara kila kukicha.

Magufuli wewe ni mkuu wa nchi, tumekupa kila kitu ili uwe dereva wa nchi yetu.

Sasa kwanini unakosea kila maamuzi unayofanya? Ni kweli watanzania tulikosea kukuchagua?

Magufuli kuwa fisadi sio kuiba Mali ya umma tu hata kulitia Taifa hasara kutokana na maamuzi ya hasira na yasiyofuata sheria ni ufisadi.


Tulikuamini, tukasema Tanzania imepata Nyerere mpya lakini imekuwa tofauti.

Tupo njia panda mkuu Magu hatujui jahazi laenda kus au kas.

Tuliza kichwa Fanya maamuzi sahihi usituharibie nchi.

We live once, miaka mitano au kumi inatosha kabisa kuharibu maisha ya watu kutokana na Sera zako.

This is a wake up call

02 : 35
Sep.05.2017

Usiku mwema

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?


Future zenu ziliharibiwa na Kikwete kwani ni yeye ndiye aliyewadanganya kisha akawatekeleza.
 
Wana CCM waliomchagua Mheshimiwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli hawajitokezi hadharani kumkosoa kama wewe, wanatumia vikao. Huku kwenye mitandao wanatupia mafumbo tu
Screenshot_2017-09-05-10-16-49.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha hayajirudii Mara mbili tunahitaji kupiga hatua, tunataka maamuzi yenye tija kwa nchi sio maamuzi yenye hasara kila kukicha.

Magufuli wewe ni mkuu wa nchi, tumekupa kila kitu ili uwe dereva wa nchi yetu.

Sasa kwanini unakosea kila maamuzi unayofanya? Ni kweli watanzania tulikosea kukuchagua?

Magufuli kuwa fisadi sio kuiba Mali ya umma tu hata kulitia Taifa hasara kutokana na maamuzi ya hasira na yasiyofuata sheria ni ufisadi.


Tulikuamini, tukasema Tanzania imepata Nyerere mpya lakini imekuwa tofauti.

Tupo njia panda mkuu Magu hatujui jahazi laenda kus au kas.

Tuliza kichwa Fanya maamuzi sahihi usituharibie nchi.

We live once, miaka mitano au kumi inatosha kabisa kuharibu maisha ya watu kutokana na Sera zako.

This is a wake up call

02 : 35
Sep.05.2017

Usiku mwema

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Nimekuelewa vya kutosha mkuu asitupoteze kwenye ramani kwakweli.
 
Unauliza swali halafu unajijibu, hivi nyie watu mnatumia kichwa gani kuwaza, hivi Magu kamaliza rushwa ipi? Uwajibikaji upi sehemu za kazi maeneo mengi bado yapo vilevile nenda polisi, nenda mahakamani uone kama kuna mabadiliko, madawa hospitali hakuna, mnasifia kana kwamba nyie tu ndio mnaishi Tanzania.
Mkuu kwani Magufuli ameshamaliza miaka yake kumi?We are just assuming that he will make it to the second term, because the constitution allows him.

Hata hivyo kwa jinsi taifa lilivyokuwa limekengeuka, kazi ni ngumu sana,kwa hiyo sio kazi ya mwaka mmoja,miwili au hata mitatu.Jamani inabidi tuwe na subira.

To me, overall anaendelea vizuri.Mwenye macho haambiwi tazama.In general,it's job well done.Yeye ni binadamu jamani,he can't be perfect.
 
Mimi kipato changu kwa muda sasa ni Tsh 1.5m kwa mwezi. Unga niliokua nanunu kwa tsh. 11,000 sasahivi ni tsh. 8,000. Gas ya tsh. 52,000 sasa hivi ni 42,000. Toka tegeta hadi kivukoni ni tsh 600 badala ya 1400.

Nimmpeleka mgonjwa wangu muhimbili, tumepokelewa vizuri alilazwa kwa wiki moja na kufanyiwa operation ya jicho na tulichangia tsh. 120,000 tu, tena kwenye wodi safi na madaktari na manesi wanao nyenyekea wagonjwa. Binafsi naipongeza sana sana serikali ya JPM kwa sababu imenipunguzia makali ya maisha. Ila mimi ni mfanyakazi na nafanya kazi kwa bidii na kazi yangu ainaga magendo.
 
Ufukara hauletwi na Raisi wa nchi yoyote,wala hakuna Raisi anayegawa pesa,tafuta alternative pale ulipo kwa namna yako,swala la kulalamikia serikali lipo miaka yote na nchi nyingi za Africa,hatupendi kufanya kazi,tunataka shortcut,tunaishi nje ya uwezo wetu,tunapenda kubahatisha,huna uwezo wa kuweka mafuta kwenye gari unanunua gari la CC 2500 au 3000,umetoka chuo juzi juzi unatangaza ndoa fasta na budget mil 25,mshahara laki 8 unamlipia mtoto milioni 2 kwa mwaka school bus laki na 60 kwa mwezi tena nursery.Kumbe ni michongo ya ofisini,uongozi ukibadilika akaingia mwingine mambo yakabadilika unalalamikia serikali,ikusaidieje?,.,.Kwa waliozoea kula kwa jasho na kuishi ndani ya uwezo tunaona ni poa tu.Kila mtu apambane na hali yake hakuna namna.
unaamini wewe na maisha unayoishi sasa wazazi wako na ndugu zako wana mchango wao kama unaamini sema na kama huamini pia sema
 
Hii ni sawa tu na watoto kumlalamikia baba au mama yao kuwa ni mnoko anawapa wakati mgumu. Sawa, kwa uelewa wao mdogo wanakuwa sahihi, lakini kwa aliyepevuka kiakili atagundua kuwa wakifanyacho wazazi kwa watoto ni sahihi. Mwisho wa siku hao hao watoto, wakishafikia umri wa utu uzima, watajirudi na kuanza kuwasifia wazazi wao kwa kuwapa malezi safi kabisa yaliyowajenga kimaadili.
Hakuna mzazi mwenye nia mbaya na makuzi ya mwanae. Vilevile mzazi akifuata maelekezo au malalamiko ya watoto kuhusu malezi kwa hakika ataharibu tu mfumo mzima wa malezi bora.
Mfano huo hauendani kabisa na kiongoz wa nchi

Mfano wafanyakazi wa serkali wanatakiwa kuongezewaa annual incrimate

Eb fikiria wasiopongezewa miaka mitano au kumi watakuwa wanedhulumiwa kiasi gani?



mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Eti mchana torch, usiku magogo.

Vijana mna maneno sana

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwani Magufuli ameshamaliza miaka yake kumi?Kazi hii ni ngumu,kwa hiyo sio kazi ya mwaka mmoja.Jamani inabidi tuwe na subira.Hata hivyo overall,anaendelea vizuri.Mwenye macho haambiwi tazama.
Miaka kumi! Hivi kumbe mmeisha badilisha katiba?
 
Mimi kipato changu kwa muda sasa ni Tsh 1.5m kwa mwezi. Unga niliokua nanunu kwa tsh. 11,000 sasahivi ni tsh. 8,000. Gas ya tsh. 52,000 sasa hivi ni 42,000. Toka tegeta hadi kivukoni ni tsh 600 badala ya 1400. Nimmpeleka mgonjwa wangu muhimbili, tumepokelewa vizuri alilazwa kwa wiki moja na kufanyiwa operation ya jicho na tulichangia tsh. 120,000 tu, tena kwenye wodi safi na madaktari na manesi wanao nyenyekea wagonjwa. Binafsi naipongeza sana sana serikali ya JPM kwa sababu imenipunguzia makali ya maisha. Ila mimi ni mfanyakazi na nafanya kazi kwa bidii na kazi yangu ainaga magendo.
Endelea kula ugali wa shikamoo huna ulijualo.
 
You people are hopelesses of the kind! Hivi mtu akiwa kiongozi anapaswa kufanya maisha ya watu yawe mazuri au aharibu? Kwani hakuna njia bora zaidi ya kuwatesa watu? Kwa mawazo yenu ni kwamba ili aonekane yu sahihi ni lazima watu wawe fukara? Hizo akili makinikia huwa mnagawiwa wapi wakati wengine wanazo zenye fikra yakinifu? Kwendeni zenu huko!!
Wewe ndio hopeless mjomba. Pambana na hali yako, acha Mheshimiwa Rais ainyooshe Nchi. Kama huoni la maana linalofanyika ruksa kuhama Nchi, ondoka tuachie Nchi yetu, mkimbizi wewe.
 
Raisi au kiongozi wa nchi akifuata hayo maneno ya mtaani ya we only live once,sijui maisha ni mafupi,tumia ela ikuzoee,ponda mali kufa kwaja..... etc,nchi itageuka kichaka cha walanguzi.Huo waweza kuwa ukweli lakini usiotakiwa kutiiliwa maanani hata dakika moja na kiongozi yoyote.
Unafikiri nchi ipo kwenye truck inayotakiwa?

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Ufukara hauletwi na Raisi wa nchi yoyote,wala hakuna Raisi anayegawa pesa,tafuta alternative pale ulipo kwa namna yako,swala la kulalamikia serikali lipo miaka yote na nchi nyingi za Africa,hatupendi kufanya kazi,tunataka shortcut,tunaishi nje ya uwezo wetu,tunapenda kubahatisha,huna uwezo wa kuweka mafuta kwenye gari unanunua gari la CC 2500 au 3000,umetoka chuo juzi juzi unatangaza ndoa fasta na budget mil 25,mshahara laki 8 unamlipia mtoto milioni 2 kwa mwaka school bus laki na 60 kwa mwezi tena nursery.Kumbe ni michongo ya ofisini,uongozi ukibadilika akaingia mwingine mambo yakabadilika unalalamikia serikali,ikusaidieje?,.,.Kwa waliozoea kula kwa jasho na kuishi ndani ya uwezo tunaona ni poa tu.Kila mtu apambane na hali yake hakuna namna.
Lakini umegusa upande mmoja tu mkuu

Nikikuambia mfno wa kilimo tumesikia soko la mbaazi limeshuka toka 2000/1850 had 200/150

Je uyu mkulima akiikosoa serkali atakosea?

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
.
Mkuu, tafadhali ainisha hapa hayo maisha mabaya wanayoishi watu. Pia tuwekee hapa ni kwa namna gani kiongozi anawatesa watu.

Pia kumbuka hakuna mtu aliyekatazwa kuwa tajiri. Ufukara wa watu ni kutokana na lifestyle yao mkuu, hakuna kiongozi atakuja awe anagawa pesa kwa watu ili kuwakwamua kiuchumi. Kama mnategemea hicho sahauni, hata mitume wakishuka hawataweza kuwaridhisha.

Mara nyingine watu kama nyie ndio mnapalilia umaskini hapa nchini kwa kuamini na kuhubiri kuwa umaskini unasababishwa na serikali. Tumieni raslimali na nguvu zenu kujikwamua, msingoje serikali iwawekee mabomba ya maziwa na asali.
Mkuu sana usiangalie kitu katika ego moja

Matokeo ya uchumi wa. Nchi kudorora huchangiwa sana na serkali iliyopo madarakan

Mfno Zimbabwe haina tena uwezo wa kikontoroo sarafu yake means uchumi wake ni umefilisika

Na Tanzania tuna kila sign tunaelekea kwenye kuanguka Zimbabwe

Kwann tusichukue hatua

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Endelea kula ugali wa shikamoo huna ulijualo.
Tena ule mchele wa tsh.2000 sasa ni 1500. Kitoweo toka tsh7000 hadi 5000. Maji nilikua nalipa tsh 80,000/ kwa mwezi sasa nalipa tsh. 30,000/tena maji safi na ya kutosha. Hapo awali maji yalikua na matope/mchanga. Ujambazi katika eneo letu sasa umepotea. Kwangu maisha yamekua bora zaidi kuliko wakati ule. Sasa hivi nimeanza kununua matofali 300 kwa mwezi na nina matumaini baada ya miezi 10 nitaanza kujenga. Namshukuru sana JPM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom