Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Maisha hayajirudii Mara mbili tunahitaji kupiga hatua, tunataka maamuzi yenye tija kwa nchi sio maamuzi yenye hasara kila kukicha.
Magufuli wewe ni mkuu wa nchi, tumekupa kila kitu ili uwe dereva wa nchi yetu.
Sasa kwanini unakosea kila maamuzi unayofanya? Ni kweli watanzania tulikosea kukuchagua?
Magufuli kuwa fisadi sio kuiba Mali ya umma tu hata kulitia Taifa hasara kutokana na maamuzi ya hasira na yasiyofuata sheria ni ufisadi.
Tulikuamini, tukasema Tanzania imepata Nyerere mpya lakini imekuwa tofauti.
Tupo njia panda mkuu Magu hatujui jahazi laenda kus au kas.
Tuliza kichwa Fanya maamuzi sahihi usituharibie nchi.
We live once, miaka mitano au kumi inatosha kabisa kuharibu maisha ya watu kutokana na Sera zako.
This is a wake up call
02 : 35
Sep.05.2017
Usiku mwema
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Future zenu ziliharibiwa na Kikwete kwani ni yeye ndiye aliyewadanganya kisha akawatekeleza.