Marehemu Mw.Nyerere alituachia utaratibu wa kuandaa, kulea na hatimaye kuchagua viongozi bora, jambo ambalo kama viongozi na wanachama wa CCM wasingeupuuza nchi hii ingekuwa na viongozi bora na sio bora viongozi.
Nakumbuka kuna wakati aliwahikusema.."kama mtu ameshindwa kuongoza familia yake iweje apewe madaraka makubwa ya kuongoza familia za wengine.
Nakumbuka kuna wakati aliwahikusema.."kama mtu ameshindwa kuongoza familia yake iweje apewe madaraka makubwa ya kuongoza familia za wengine.