kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Watu wamechoshwa na sera zako kandamizi
No viwanda
No employment opportunity
Mfumuko wa bei
Sera za chuki
Umefilisi nchi
No freedom of speech
Chuki dhidi ya upinzani
Mikopo na madeni kila siku
Umasikini umeongezeka
Vijana wananyimwa mikopo hela zinanunua mandege mabovu tu
Uchumi umeporomoka hali ni mbaya kila mahali
Mizizi ya udikteta nchini
Ukandamizaji wa haki za binadamu
Wanaopinga serikali wanapotea, wanajeruhiwa, wanapigwa nchi ipo gizani hakuna hatua iliyochukuliwa
Serikali haina uwazi ni mwendo wa kukopa kwa siri kama walivyokopa dola milioni 500 kwa riba ya dola milioni 900
Upendeleo na matabaka
Kwa haya nguvu ya umma inakuja soon
Lazima utawala huu utaondoka madarakani tu
Mjiandae kwa nguvu ya umma ambayo haijawah tokea
[HASHTAG]#Firechat[/HASHTAG]
No viwanda
No employment opportunity
Mfumuko wa bei
Sera za chuki
Umefilisi nchi
No freedom of speech
Chuki dhidi ya upinzani
Mikopo na madeni kila siku
Umasikini umeongezeka
Vijana wananyimwa mikopo hela zinanunua mandege mabovu tu
Uchumi umeporomoka hali ni mbaya kila mahali
Mizizi ya udikteta nchini
Ukandamizaji wa haki za binadamu
Wanaopinga serikali wanapotea, wanajeruhiwa, wanapigwa nchi ipo gizani hakuna hatua iliyochukuliwa
Serikali haina uwazi ni mwendo wa kukopa kwa siri kama walivyokopa dola milioni 500 kwa riba ya dola milioni 900
Upendeleo na matabaka
Kwa haya nguvu ya umma inakuja soon
Lazima utawala huu utaondoka madarakani tu
Mjiandae kwa nguvu ya umma ambayo haijawah tokea
[HASHTAG]#Firechat[/HASHTAG]