Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Rushwa zimekata, Wauza unga mmetiwa kapuni, siasa za majitaka na uongo majukwaan zimekoma, semina na warsha feki holaaaa, wazee wa 10% kibano, waliokuwa na pesa chafu sasa kama mashetani, bandarin mizigo ya bure piniiii, kodi haikwepeki ni mwendo wa UHALISI TUUU mnaobishana na zamma hizi lazima mpate taaaaabu sana.
 
Magufuli a.k.a Jiwe alishapoteza dira kitambo sana anachofanya sasa ni kulazimisha kukubalika na ni wajinga pekee wanaomkubali huyu Jamaa mi simpendi na sitokuja kumpenda abadani
 
Huu Uzi utabomoa Lumumba washaambia wawache polisi wapinzani wajibiwe kwa Hoja,sio kwa bunduki,Bomu,makofi, mabuti,virungu.
 
kuongoza watu wasiojua wanataka nini ni kazi kubwa.Anayetaka demokrasia na uhuru aende china ambako hadi askofu wa kanisa anateuliwa na serikali.No democracy but there is development.JPM PIGA KAZI SHETANI NA WENZAKE WANAPATA TABU SANA,GOD IS WITH YOU FOREVER.
mkuu uwe unafikiri basi hata kidogo, sawa china hamna demokrasia ila wanajua wanacho fanya sio kama sisi

kwamba china utakuta upotevu wa bill. kama za rugumi alafu muhusika anaachwa/anaondolewa eti kwa kulewa kazini.

kwamba china 1.5 inatumika isivyo eleweka na bado wahusika wanadunda

acha kutoa mifano isiyo endana
 
Rushwa zimekata, Wauza unga mmetiwa kapuni, siasa za majitaka na uongo majukwaan zimekoma, semina na warsha feki holaaaa, wazee wa 10% kibano, waliokuwa na pesa chafu sasa kama mashetani, bandarin mizigo ya bure piniiii, kodi haikwepeki ni mwendo wa UHALISI TUUU mnaobishana na zamma hizi lazima mpate taaaaabu sana.
Haya
 
Ngoja tuone kama kweli utabiri wa Nabii Bushiri aliotabiri 2015 ipo YouTube japo gwajima aliupinga kama utakuwa kweli au si kweli. Alitabiri mshindi ni PJM,tetemeko La ardhi litaipiga Tza,anga La Tza limejaa damu,hali ya uchumi itakuwa mbaya mbaya kila mwaka,tuiombee Tanzania ".Japo Mzee wa kuamsha dude alimpinga kwanini unatabiri mabaya juu ya nchi yetu? ikapelekea kutupiana maneno.
 
kuongoza watu wasiojua wanataka nini ni kazi kubwa.Anayetaka demokrasia na uhuru aende china ambako hadi askofu wa kanisa anateuliwa na serikali.No democracy but there is development.JPM PIGA KAZI SHETANI NA WENZAKE WANAPATA TABU SANA,GOD IS WITH YOU FOREVER.
Avatar yako tu inaonesha we sio raia wa nchi hii...
 
Mheshimiwa Rais,

Pole kwa Majukumu!.....natumai ujumbe wangu huu utakufikia hapo "Jumba Jeupe" japo unaweza kuonekana ni ujumbe usio na maana na wa hovyo but kikubwa ufike sehemu husika.

Mh. RAIS, Nimejaribu kutafakari mambo mengi yahusuyo hatma ya taifa letu tangu ulipoingia madarakani, naona umeshapoteza dira na lengo lako uliloingia nalo madarakani.....

Mh. Rais, bila kupepesa macho wala mikono nathubutu kusema ya kwamba wewe ndiye Rais unayeweka historia ya "Rais kimeo kuwahi kutokea tangu tupate Uhuru" huna dira, huna lengo thabiti, huna maono, huna Utu, nakiri kuwa cheo cha urais kimepata m'bakaji (Nisamehe kwa lugha yangu kali).

Mh. Rais, wewe ndiye Kiongozi pekee uliyeleta balaa, malalamiko, shida, manyanyaso na mgawanyiko mkubwa katika taifa (umekuwa adui mkubwa wa demokrasia na mshikamano kitaifa, umekuwa Nepotist wa kiwango cha hali ya juu, Ukanda, Ukabila na hata Uchama! Inasikitisha!

Mh. Rais, tangu uingie madarakani, ajira hamna (vijana waliomaliza vyuo kuanzia ulipoingia madarakani yaani 2015+ wanakula msoto mtaani).....Hali ngumu ya maisha, nani aliyesalimika katika hili? Wewe ndiye rais pekee ambaye chini ya uongozi wake, upinzani unaonekana ni uadui, manyanyaso ya polisi na vyombo vya usalama kwa raia hakika umeweka pamba masikioni!!

Mh. Rais, huu ni mwaka wa tatu tangu uingie madarakani (soon utaingia wa nne), ila najua unajidanganya kwa kujivuni Elimu Bure (ilhali hakuna implementation na strong strategies), lakini pia utajivunia MaBombardier, SRG, Stiglers Gorge na Uwanja wa ndege wa Chato!...ila nakuhakikishia utaondoka madarakani ukiwa na deni kubwa kutoka kwenye mioyo ya Watanzania wengi walioteseka na uongozi wako dharimu.

Nani anayetaka Stiglers Gorge na Mandege wakati hapewi nafasi yake kikatiba kama mwananchi mwenye imani, itikadi, na maono huru? Hakika mtu uyo hayupo, na kama yupo hawezi kuwa si punguani wa akili!!

Mh. Rais, nikukumbushe tu ya kwamba hao wakuhadaao kwa kisingizio cha kukuunga mkono, ndio haohao watakao pelekea anguko lako....

Nimalizie kwa kukupa ujumbe huu "THE NUMBER OF FOLLOWERS YOU HAVE, DOES NOT MAKE YOU A BETTER PERSON THAN ANYONE ELSE,..REMEMBER, ADOLF HITLER HAD MILLIONS, JESUS HAD ONLY TWELVE".......


__nakungoja mlangoni____
Duh hii kali!
 
kuongoza watu wasiojua wanataka nini ni kazi kubwa.Anayetaka demokrasia na uhuru aende china ambako hadi askofu wa kanisa anateuliwa na serikali.No democracy but there is development.JPM PIGA KAZI SHETANI NA WENZAKE WANAPATA TABU SANA,GOD IS WITH YOU FOREVER.
I concur.
 
Unataka nini hueleweki umeanza viruri lakini nahisi hutaki maendeleo wewe nchi kuendelea sio ajira kwa watu pekee viwanda reli ndege umeme wa uhakika subiri miaka 10 ijayo magufuli anaonyesha kwa vitendo nini maana ya uongozi
 
Rushwa zimekata, Wauza unga mmetiwa kapuni, siasa za majitaka na uongo majukwaan zimekoma, semina na warsha feki holaaaa, wazee wa 10% kibano, waliokuwa na pesa chafu sasa kama mashetani, bandarin mizigo ya bure piniiii, kodi haikwepeki ni mwendo wa UHALISI TUUU mnaobishana na zamma hizi lazima mpate taaaaabu sana.
Soma ripot ya CAG,matajiri wamehamisha biashara zao nje wanapiga Pesa kama kawa sababu wana exposure,nenda Zambia na Congo truck za bongo zimejaa kule wamebadili usajili tu,bandarini wamebana wanakosa kodi lkn mizigo imejaa mijini magendo yameongezeka wwe endelea kuunga mkono juhudi hewa za marudio ya chaguzi za kupoteza kodi zetu za kubana matumizi kuifurahisha ccm.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom