Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Alilivamia swala la sukari tena kwa kufokafoka likabuma tena kwa sukari kupanda bei 3 times mpaka leo. Amevamia swala la korosho kwa kufoka tena mpaka kuwa tishia akina nape kuwafukuza ona linavyowatesha wananchi.
Alimfukuza mwigulu kwa kufokafoka tena kwa issue ya lugumi sasa imeonekana serikali ndo ilikuwa na tatizo siyo lugumi.
Je kwa trend hii mbeleni si kuna giza jamani! Wakuu wote wa miko na wilaya wamemuiga nao ni kufokafoka tu.
Watanzani kwa nini tusimforce ajiudhuru atuachie nchi ili tumtafute mwenye uwezo wa kuongoza!!
Mungu anamuumbua kajaribu kumuua lissu ikashindikana
 
Alilivamia swala la sukari tena kwa kufokafoka likabuma tena kwa sukari kupanda bei 3 times mpaka leo. Amevamia swala la korosho kwa kufoka tena mpaka kuwa tishia akina nape kuwafukuza ona linavyowatesha wananchi.
Alimfukuza mwigulu kwa kufokafoka tena kwa issue ya lugumi sasa imeonekana serikali ndo ilikuwa na tatizo siyo lugumi.
Je kwa trend hii mbeleni si kuna giza jamani! Wakuu wote wa miko na wilaya wamemuiga nao ni kufokafoka tu.
Watanzani kwa nini tusimforce ajiudhuru atuachie nchi ili tumtafute mwenye uwezo wa kuongoza!!

Huyu jamaa hua ni bure..ni kama wale samaki wa kipindi kile.....na kesi tukashindwa na faini tukalipa...

Bure kabisa
 
Kangi : "TUMEGUNDUA LUGUMI HAKUWA NA KOSA"
mkuu ukienda mahakamani kesi alizoshindwa dah ni aibu kwa ofisi ya DPP kuforce kesi hazina kichwa wala miguu..
Alifeli kwenye povu la trilioni 450 huyu anaumwa nani akuhonge huo utajiri..
Amefeli kwenye kauli. Mwananchi unamwambia mi mtetezi wako, akifiwa unajificha, akipata tetemeko unajificha
Amefeli kwenye usalama wa raia leo magaidi tanzania wanateka wapendaye wanakaa naye karibu na maeneo nyeti ya therikali, hawakamatiki..
 
Ngoja ni comment kablanuzi haujafutwa. Alisema mahindi yasiuzwe nje SGR watanunua yote. Bei imebuma, mahindi ya mavuni ga mwaka jana yamekutana na ya mwaka huu na bei zime crush. Acha tuisome namba
Lisu alisema tuna rais wa ajabu haijawahi kutokea, rais huyu anatakiwa kupingwa na kila MTU mwenye akili.
 
Alilivamia swala la sukari tena kwa kufokafoka likabuma tena kwa sukari kupanda bei 3 times mpaka leo. Amevamia swala la korosho kwa kufoka tena mpaka kuwa tishia akina nape kuwafukuza ona linavyowatesha wananchi.
Alimfukuza mwigulu kwa kufokafoka tena kwa issue ya lugumi sasa imeonekana serikali ndo ilikuwa na tatizo siyo lugumi.
Je kwa trend hii mbeleni si kuna giza jamani! Wakuu wote wa miko na wilaya wamemuiga nao ni kufokafoka tu.
Watanzani kwa nini tusimforce ajiudhuru atuachie nchi ili tumtafute mwenye uwezo wa kuongoza!!
Dhana ya kufikiri kabla ya kutenda....ipo mbali kidogo. Afu kibaya zaidi, walioizunguka meza ya kikao, wanaogopa kutoa maoni pingamizi(wanalinda ugali).

So acha tu tuangalie....tufika tu.
 
Haijawahi tokea mwenye papara akafanya vizuri,wote huwa wanaishia kukoroma tu na kutafuta mchawi
 
Ila asijari sana, watamrudisha tu, tena watamtupa kwenye geti kuu la white house.....akiwa ananukia visamaki samaki, mabaga na mapiza mdomoni.

#hapa ndio kwetu bhana
Jiandae na Nissan nyeupe na watu wasiojulikana kutoka South wanaoongea "kidhungu" na kukupeleka kusikojulikana
 
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lisu pia ni mropokaji , mkicha na angekuwa ni raisi angefanya mabaya zaidi ya hayo unayoyaona mabaya. Nikupe mfano, Issue ya vita ya akina Zitto na Mbowe chadema, alilibeba lile sakata kwa niaba ya mbowe bila hata ya kufuata taratibu za kisheria ma alitukana na kumshambulia zito molitandaoni na kwenye mikutano. Sakata la list of shame alikuwa kinara hivyo hivyo, kumshambulia Dr. SLAA nk, lissu juu ya elimu yake ni rahisi kutumiwa na wengine kutimiza mauchafu yao. He is very unpredictable, na ana uchuki za ajabu
Umeshawahi kumsikia Lissu ameshika microphone na kusemae yeye ni kichaa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom