Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Huku kwetu ,vijana bwana wakaitana eti wausukume ukuta wa uwanja wa mpira ili uongezeke(upana),Mimi nikawa nawacheka tu,najua njaa ikiwashika watajua kuwa wafanyacho nikitu ambacho kamwe hakiwezi kutokea njaa ikipamba moto mmoja mmoja anaondoka bila kuaga mwingine.
Upinzani ni kioo cha serikali jinsi inavyofanya kazi zake.
Lakini Magufuli amewaona wapinzani kama maadui wa serikali. Ameanzisha misheni ya kuteketeza upinzani , hususani CHADEMA chama chenye nguvu kubwa, hili liko wazi. Lakini asilolijua Magufuli ni kwamba hatafanikiwa kuuwa upinzani, anajipa tu moyo na kujidanganya ktk misheni yake chafu ya ukandamizaji kwa upinzani. Aangalie mfano wa Ethiopia ambako waziri mkuu wa zamani Haile Mariam alifanya kama yeye lakini leo yuko wapi; alishindwa na sasa waziri mkuu mpya ameanza kurudisha demokrasia iliyoumizwa na dikteta Mariam.

Chadema imejipanga kupambana hadi tone la mwisho la damu, auwe, afunge magerezani kama alivyodai , vyovyote vile mapambano ya kutetea haki, demokrasia, na utawala wa sheria yataendekea.

Kwa MAKAMANDA: "Never give up, when you want to give up ask yourself why you started", waache hao wachumia tumbo waende kujiunga na watesi wetu, ccm, mwisho wa siku watapata malipo yake.
 
1.Mererani huko Tanzanite kumekucha!
2.Koroshow azisomeki!
3.Forex patashika
4.???

IMG_20181205_075130.jpeg
 
Alikuta mambo mengi yameishaharibika; hivyo akijaribu kuyafanyia marekebisho yanaharibika zaidi. Tukae tujiulize maswali ya kimantiki.
1. Alipoingia madarakani alikuta nini azina?
2. Nani aliharibu miundo mbinu ya treini na kuliingiza taifa kwenye matumzi ya barabara?
3. Nani alikuwa akiinjinia uuzwaji wa wanyama kutoka kwenye mbuga zetu?
4. Nani aliruhusu mfumo wetu wa elimu uendelee kutumia utaratibu ule ule wa mkoroni?
5. Nani aliharibu kwenye kilimo kwanza?
6. Nani aliuza benki zetu, nyumba za wafanyakazi kwa kisingizio cha ubinafshishaji?

Majibu ya maswali haya yatamfanya rais wetu aonekane kuwa anachokifanya ni kufufua kile kilichokuwa kinaelekea kufa kabisa. Na hapa sio kwamba namtetea kwamba mimi nina hali nzuri - hapana. Sikuwahi kuwa mwanaccm na sitegemei kwa sababu hii ni kambi yenye kuendeleza yale ya wakoloni.
 
Alikuta mambo mengi yameishaharibika; hivyo akijaribu kuyafanyia marekebisho yanaharibika zaidi. Tukae tujiulize maswali ya kimantiki.
1. Alipoingia madarakani alikuta nini azina?
2. Nani aliharibu miundo mbinu ya treini na kuliingiza taifa kwenye matumzi ya barabara?
3. Nani alikuwa akiinjinia uuzwaji wa wanyama kutoka kwenye mbuga zetu?
4. Nani aliruhusu mfumo wetu wa elimu uendelee kutumia utaratibu ule ule wa mkoroni?
5. Nani aliharibu kwenye kilimo kwanza?
6. Nani aliuza benki zetu, nyumba za wafanyakazi kwa kisingizio cha ubinafshishaji?

Majibu ya maswali haya yatamfanya rais wetu aonekane kuwa anachokifanya ni kufufua kile kilichokuwa kinaelekea kufa kabisa. Na hapa sio kwamba namtetea kwamba mimi nina hali nzuri - hapana. Sikuwahi kuwa mwanaccm na sitegemei kwa sababu hii ni kambi yenye kuendeleza yale ya wakoloni.
Tujikite kwenye mada kwanza ili twende sawa.

Vipi kipengele cha korosho ule mfuko wa export levy alikuta nao umeharibika?


Tuanzie hapo mkuu!
 
Alikuta mambo mengi yameishaharibika; hivyo akijaribu kuyafanyia marekebisho yanaharibika zaidi. Tukae tujiulize maswali ya kimantiki.
1. Alipoingia madarakani alikuta nini azina?
2. Nani aliharibu miundo mbinu ya treini na kuliingiza taifa kwenye matumzi ya barabara?
3. Nani alikuwa akiinjinia uuzwaji wa wanyama kutoka kwenye mbuga zetu?
4. Nani aliruhusu mfumo wetu wa elimu uendelee kutumia utaratibu ule ule wa mkoroni?
5. Nani aliharibu kwenye kilimo kwanza?
6. Nani aliuza benki zetu, nyumba za wafanyakazi kwa kisingizio cha ubinafshishaji?

Majibu ya maswali haya yatamfanya rais wetu aonekane kuwa anachokifanya ni kufufua kile kilichokuwa kinaelekea kufa kabisa. Na hapa sio kwamba namtetea kwamba mimi nina hali nzuri - hapana. Sikuwahi kuwa mwanaccm na sitegemei kwa sababu hii ni kambi yenye kuendeleza yale ya wakoloni.

Ni kweli alikuta vitu vingi vimeharibika LAKINI yeye anavimalizia na sio kuvifufua.
 
Alikuta mambo mengi yameishaharibika; hivyo akijaribu kuyafanyia marekebisho yanaharibika zaidi. Tukae tujiulize maswali ya kimantiki.
1. Alipoingia madarakani alikuta nini azina?
2. Nani aliharibu miundo mbinu ya treini na kuliingiza taifa kwenye matumzi ya barabara?
3. Nani alikuwa akiinjinia uuzwaji wa wanyama kutoka kwenye mbuga zetu?
4. Nani aliruhusu mfumo wetu wa elimu uendelee kutumia utaratibu ule ule wa mkoroni?
5. Nani aliharibu kwenye kilimo kwanza?
6. Nani aliuza benki zetu, nyumba za wafanyakazi kwa kisingizio cha ubinafshishaji?

Majibu ya maswali haya yatamfanya rais wetu aonekane kuwa anachokifanya ni kufufua kile kilichokuwa kinaelekea kufa kabisa. Na hapa sio kwamba namtetea kwamba mimi nina hali nzuri - hapana. Sikuwahi kuwa mwanaccm na sitegemei kwa sababu hii ni kambi yenye kuendeleza yale ya wakoloni.
Kazi ya ma-CHADEMA hiyo Mkuu! Waliiharibu sana hii nchi beyond repair! Angalau sasa inakombolewa kutoka mikononi mwa manyang'au Chadema waliotunga sheria za ajabu ajabu za kuifilisi nchi.
 
Kazi ya ma-CHADEMA hiyo Mkuu! Waliiharibu sana hii nchi beyond repair! Angalau sasa inakombolewa kutoka mikononi mwa manyang'au Chadema waliotunga sheria za ajabu ajabu za kuifilisi nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo Code mkuu [emoji847][emoji847]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom