Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kazi ya ma-CHADEMA hiyo Mkuu! Waliiharibu sana hii nchi beyond repair! Angalau sasa inakombolewa kutoka mikononi mwa manyang'au Chadema waliotunga sheria za ajabu ajabu za kuifilisi nchi.
CHADEMA + wapinzani wengine ni wachache sana bungeni; waliokuwa wakipitisha maamuzi yasiyofaa ni CCM; nakushangaa unaposema hiyo ni kazi ya Chadema. Jiulize ile mikataba iliyosainiwa zaidi ya 17 pasipo kutafsiriwa ilipitishwa na nani?
 
Tuendelee kumuombea
IMG-20181205-WA0000.jpeg
 
CHADEMA + wapinzani wengine ni wachache sana bungeni; waliokuwa wakipitisha maamuzi yasiyofaa ni CCM; nakushangaa unaposema hiyo ni kazi ya Chadema. Jiulize ile mikataba iliyosainiwa zaidi ya 17 pasipo kutafsiriwa ilipitishwa na nani?
Na mbowe na genge lake.
 
Kazi ya ma-CHADEMA hiyo Mkuu! Waliiharibu sana hii nchi beyond repair! Angalau sasa inakombolewa kutoka mikononi mwa manyang'au Chadema waliotunga sheria za ajabu ajabu za kuifilisi nchi.
Dah watu tafsida... Barrraaaa
 
Alikuta mambo mengi yameishaharibika; hivyo akijaribu kuyafanyia marekebisho yanaharibika zaidi. Tukae tujiulize maswali ya kimantiki.
1. Alipoingia madarakani alikuta nini azina?
2. Nani aliharibu miundo mbinu ya treini na kuliingiza taifa kwenye matumzi ya barabara?
3. Nani alikuwa akiinjinia uuzwaji wa wanyama kutoka kwenye mbuga zetu?
4. Nani aliruhusu mfumo wetu wa elimu uendelee kutumia utaratibu ule ule wa mkoroni?
5. Nani aliharibu kwenye kilimo kwanza?
6. Nani aliuza benki zetu, nyumba za wafanyakazi kwa kisingizio cha ubinafshishaji?

Majibu ya maswali haya yatamfanya rais wetu aonekane kuwa anachokifanya ni kufufua kile kilichokuwa kinaelekea kufa kabisa. Na hapa sio kwamba namtetea kwamba mimi nina hali nzuri - hapana. Sikuwahi kuwa mwanaccm na sitegemei kwa sababu hii ni kambi yenye kuendeleza yale ya wakoloni.

Naye alikuwa katika timu iliyofanya yote hayo!

Alikuta Nyumba za serikali zimejaa tele, akazipiga bei
 
Binafsi nimechukia sana anapotaka kuwadhulumu wakulima korosho kwa kisingizio cha mashamba....

Bwana huyu sijui kama 2020 mambo yatamwendea sawa...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom