Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tulivyo tutamchagua tu
Duh umeanza rushwa ya uchaguzi mapema sana.Kuna wazee 40 huwa nawanunulia kahawa kila siku jioni nimeshawaambia kabisa uchaguzi ujao wakimchagua mtu wa ajabu wasitegemee tena kuwa nitawanunulia kahawa na wala kuwapa msaada wowote
Hao wazee unawanunuliaga huko Rwanda au Burundi wewe bwana Irakunda?Kuna wazee 40 huwa nawanunulia kahawa kila siku jioni nimeshawaambia kabisa uchaguzi ujao wakimchagua mtu wa ajabu wasitegemee tena kuwa nitawanunulia kahawa na wala kuwapa msaada wowote
Mi kijijini sipeleki misaada tangu wachague lofa mwenzaoKuna wazee 40 huwa nawanunulia kahawa kila siku jioni nimeshawaambia kabisa uchaguzi ujao wakimchagua mtu wa ajabu wasitegemee tena kuwa nitawanunulia kahawa na wala kuwapa msaada wowote
Unaota wewe wapo mpaka 2007. Usipojiongeza itakula kwako. CCM mbele kwa mbele.Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
Yaani hili li C C M litakuwa limesomea VETA kozi ya mochwari attendantChama cha siasa hakiwezi kuleta maendeleo ya watu direct, ila nimeshangazwa na CCM kuaribu maisha ya watu wengi direct ndani ya mda mfupi.
Burundi eneo fran hivi linaitwa BUZEBAZEBAHao wazee unawanunuliaga huko Rwanda au Burundi wewe bwana Irakunda?