Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
KAMWE usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu ajabu kama huyu nduli, mwizi, muongo, fisadi, mzinzi na maovu chungu nzima mengine. Huyu hafanyi makosa bali anafanya makusudi tia akili kichwani. Nyerere hakuwahi kugoma kukaguliwa na CAG kuiba senti moja hazina wala kufanya ufisadi.

Huyo kachota hazina Trillions bila idhini ya Bunge, ufisadi na wizi wa kutisha ikiwemo ukwapuzi wa 2.4 trillions na kugoma kukaguliwa

Acha kabisa kumfananisha Nyerere na huyo mhuni ambaye ameshindwa hata kuheshimu taasisi ya Urais.
Mazuri yake ni mengi kuliko mabaya yake. Kitu nilichojifunza nikuwa watu wanaolalamika kila kitu, hawatokaa waridhike na hali au matatizo waliyonayo ss wanazadhani imesababishwa na mtu fulani na sio wao. Mkuu embu Sema km ww ungekuwa magufuli ungeifanyia nn Tanzania. Uzinzi wa magufuli unakuadhiri nini ww?. Mbona Kuna baadhi ya viongozi wa upinzani ni wazinzi na hata clip zao tumeziona wakifanya mambo ya hovyo.
 
KAMWE usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu ajabu kama huyu nduli, mwizi, muongo, fisadi, mzinzi na maovu chungu nzima mengine. Huyu hafanyi makosa bali anafanya makusudi tia akili kichwani. Nyerere hakuwahi kugoma kukaguliwa na CAG kuiba senti moja hazina wala kufanya ufisadi.

Huyo kachota hazina Trillions bila idhini ya Bunge, ufisadi na wizi wa kutisha ikiwemo ukwapuzi wa 2.4 trillions na kugoma kukaguliwa

Acha kabisa kumfananisha Nyerere na huyo mhuni ambaye ameshindwa hata kuheshimu taasisi ya Urais.

Mkuu BAK huwa unaniacha hoi sana unapomshambulia huyo mzee kwa majina zaidi ya matano kwa wakati mmoja, likiwemo hilo la "nduli"

Very interesting!
 
Kuzaliwa miaka hii inahusu nini kujua kwamba Nyerere hawezi kufananishwa na huyo nduli na dikteta wa Ikulu!? 😳😳😳

Narudia tena usimfananishe huyo mwendawazimu na Baba wa Taifa na kuzaliwa miaka hii au mwaka 47 haihusu kitu kujua huo ukweli.

Mwingine huyu hapa aliyezaliwa mwaka 47 lakini hana mtazamo POTOFU kama wako.



Wewe umezaliwa miaka hii kaka.
Waulize wazee.waliokuwa wakinyimwa kuvaa mitumba,wakikaguliwa mpk mavyumbani kupunguziwa mali zao eti kisa nyingi,njaa ya funga funga ndio big issue kabbisa.
We jamaa unataka kusema hayo sio makosa ya makusudi!?
Kutaifisha kilazma mali za mtu kwa jasho lake sio wizi?!
U can't even think.
KUwatia kina Bibi Titi jela pasi na makosa sio chuki na. Ujambazi huo?!
Nyie vipi Nyerere mabalaa yote yale mnamwita baba wa taifaaa?!
Kuna wenye kujielewa hawamwiti Nyerere sijui nyenyere baba wa taifa.
Because wanajua upuuzi mwingi wa makusudi alioufanya.
Thanks for listening and good bye.
 
Najua hii thread haitadumu Kwa sababu ya heading yake.
Huyu ndo Rais wetu anayejipambanua Kama mcha Mungu na tumwombee sana, roho yake ina chuki za kupindukia Kwa wapinzani
Jieleze vizuri bhana! Unaandika kama mtoto anyejifunza kuandika insha! Nini tatizo lako? Ushahidi wa maneno yako ni upi? Nini kimetokea?
Usitueleze eti amekuzuia kuiba.
 
Usijifanye kuwa huoni.Huhitaji kubeba taa mchana kama yule mwana falsafa wa ugiriki ili kuona maovu ya huyo Mfalme.
Ss mbona hamuelezi makosa yake. Yeye sio mkamilifu hata ww ulie post ukipewa hii nchi lazima watu watalalamika. Tuangalie aliyoyafanya ulinganishe na mabaya yake na utazame changamoto ya hii nchi
 
Kuzaliwa miaka hii inahusu nini kujua kwamba Nyerere hawezi kufananishwa na huyo nduli na dikteta wa Ikulu!? [emoji15][emoji15][emoji15]

Narudia tena usimfananishe huyo mwendawazimu na Baba wa Taifa na kuzaliwa miaka hii au mwaka 47 haihusu kitu kujua huo ukweli.

Mwingine huyu hapa aliyezaliwa mwaka 47 lakini hana mtazamo POTOFU kama wako.

Hata Netanyahu ana watu wanasifia ilhali yeye ni mvunja haki za binadam.
Lakini kunambia nyerere baba wa taifa mm siwez mkubali kuwa baba wa taifa.
Kama ww ungekuwa unafukunyuliwa hadi chumbani mali zako kesha kutaifishwa kisa nyingi unaona sawa basi utakuwa huna akili timamu.
Wakina Bibi Titi na Sykes wamedhulumiwa haki zao we hilo hulioni ?!
Ni bure kabbisa ww mm siwez mkubali huyu jamaa alieweka Historia ya njaa ktk hii ardhi yetu ya rutuba kuwa ni baba wa taifa.
 
Atasomwa na wapumbavu wake kama wewe.Lipi alilonalo litakalopelekea Afrika kumsoma?.Mugabe anasomwa na nani hapa Afrika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magufuli ana Mungu ! Ni raisi atakayesomwa si Tanzania tu hata afrika mzima. Atakuwa mfano mwema na wa kuigwa. Jasiri, mwenye msimamo na vision. Bahati mbaya anaongoza baadhi ya watu wasio na shukrani wanaonyooshe wenzao vidole huku wao hata nyumba zao wameshindwa kuziongoza, wanaozaa watoto wakiwatelekeza, wezi wakubwa toka wakiwa mashuleni wakiibia mitihani mpaka maofisini. Wasio na shukrani. Hao ni wakujitenga nao
 
Mazuri gani Unaongelea mkuu?
Mazuri yake ni mengi kuliko mabaya yake. Kitu nilichojifunza nikuwa watu wanaolalamika kila kitu, hawatokaa waridhike na hali au matatizo waliyonayo ss wanazadhani imesababishwa na mtu fulani na sio wao. Mkuu embu Sema km ww ungekuwa magufuli ungeifanyia nn Tanzania. Uzinzi wa magufuli unakuadhiri nini ww?. Mbona Kuna baadhi ya viongozi wa upinzani ni wazinzi na hata clip zao tumeziona wakifanya mambo ya hovyo.
 
katuharibia sana umoja na ustawi wa taifa, mihimili haina nguvu tena, bunge letu natamani bora wabunge wabaki kwa idadi ya mikoa hawana kazi.Tuokoe garama.
 
Kuzaliwa miaka hii inahusu nini kujua kwamba Nyerere hawezi kufananishwa na huyo nduli na dikteta wa Ikulu!? [emoji15][emoji15][emoji15]

Narudia tena usimfananishe huyo mwendawazimu na Baba wa Taifa na kuzaliwa miaka hii au mwaka 47 haihusu kitu kujua huo ukweli.

Mwingine huyu hapa aliyezaliwa mwaka 47 lakini hana mtazamo POTOFU kama wako.

We watu walikua wanavaa mpk viroba bhana kipindi chake we unazungumza nini bhana?!
Wanaojitambua wengi wao wanamwimba tu mdomoni Nyerere ila moyoni wanamchukia kishenzi kama hujui.
Ni kama unavyotakiwa ujibu ktk history kuwa first man was ape ilhali unajua kuwa sio ape bali wakubali tu ili ufaulu mtihani.
 
Kama wewe humkubali utajijua wewe lakini wako Watanzania in millions wanamkubali na hata wa nchi za mbali waarabu, waafrika na hata wazungu walimkubali Nyerere sana tu.

Bibi Titi aliyetaka kumpindua Nyerere na kundi lake Mwalimu alimsamehe huyo dhalimu na dikteta ANGEMNYONGA bila hata huruma.

Narudia tena usimfananishe Baba wa Taifa na watu wa ajabu ajabu kama huyo nduli.

Hata Netanyahu ana watu wanasifia ilhali yeye ni mvunja haki za binadam.
Lakini kunambia nyerere baba wa taifa mm siwez mkubali kuwa baba wa taifa.
Kama ww ungekuwa unafukunyuliwa hadi chumbani mali zako kesha kutaifishwa kisa nyingi unaona sawa basi utakuwa huna akili timamu.
Wakina Bibi Titi na Sykes wamedhulumiwa haki zao we hilo hulioni ?!
Ni bure kabbisa ww mm siwez mkubali huyu jamaa alieweka Historia ya njaa ktk hii ardhi yetu ya rutuba kuwa ni baba wa taifa.
 
Angalau Mobutu na Jean Bedel Bokassa walikuwa na sura za kuvutia.
1142383
 
Siku ukitia akili kichwani labda utaelewa kwamba Mwalimu pamoja na makosa yake lakini hakuwa mwizi, fisadi, muongo, aliyejichotea pesa hazina bila idhini ya Bunge, hakufanya upendeleo wowote kule kwao aliiheshimu taasisi ya Urais, aliwaheshimu Watanzania.

Usijaribu kabisa kumfananisha huyo nduli na Baba wa Taifa.

We watu walikua wanavaa mpk viroba bhana kipindi chake we unazungumza nini bhana?!
Wanaojitambua wengi wao wanamwimba tu mdomoni Nyerere ila moyoni wanamchukia kishenzi kama hujui.
Ni kama unavyotakiwa ujibu ktk history kuwa first man was ape ilhali unajua kuwa sio ape bali wakubali tu ili ufaulu mtihani.
 
Jamani mi niko serious, ninyi mnaleta siasa. Hii ni mada inayoweza kutusaidia na kumsaidia rais tukiondoa ushabiki
Mkuu ni miaka imepita nadhani umeuona mwelekeo.... safari yetu ni kama ya mlevi....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom