emanuel goa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 522
- 585
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hats Sie huku Lumumba tunamuunga mkono konafiq tu ili mkono uende kinywani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hats Sie huku Lumumba tunamuunga mkono konafiq tu ili mkono uende kinywani.
Naam, kuna tukio moja lililo nisikitisha, nalo ni la aliyekuwa mtumishi mmoja wa umma. Huyu ndugu alipewa barua ya kustaafu alafu baada ya siku 2 akapewa barua ya kuachichwa kazi ktk grounds za vyeti feki. Barua ya pili ilimwambia kuwa hana haki yoyote.Kama alifuta watu kazi kws ajili ya vyeti fake iweje Bashite aka Makonda bado yupo kazini?
Nimekutajia mtu anaefahamika na wengi na ushahidi upo kwenye public domain.
Toa mfano mwingine huo haueleweki, kwa kuwa wanasema nafasi yake si ya kitaaluma na mteuzi anachoangalia ni utendaji na alimkuta kwenye system akiwa DC.Kama alifuta watu kazi kws ajili ya vyeti fake iweje Bashite aka Makonda bado yupo kazini?
Nimekutajia mtu anaefahamika na wengi na ushahidi upo kwenye public domain.
Kwani aliowafuta kazi hakuwakuta kwenye system wakiwa kazini? Wengne wamewatibu watu kwa miaka mingi na watu wamepona magonjwa yao.Toa mfano mwingine huo haueleweki, kwa kuwa wanasema nafasi yake si ya kitaaluma na mteuzi anachoangalia ni utendaji na alimkuta kwenye system akiwa DC.
Hivi unaelewa kugushi cheti ni kosa la jinai? Utamteua vipi mtu mhalufu kuwaongoza watu? Kiongozi anatakiwa kuwa kioo.Toa mfano mwingine huo haueleweki, kwa kuwa wanasema nafasi yake si ya kitaaluma na mteuzi anachoangalia ni utendaji na alimkuta kwenye system akiwa DC.
Usije kushangaa lakin i jina lake lisipokuwepo katika wagombea urais 2020. Maisha yanaenda kasi sana.Subiri 2025 ndio ulete hizo pumba zako,ila kwa sasa tulia dawa ikuingie tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
jingalao, hakuna nchi inajua propaganda kama Iran. Hakuna kiongozi mahiri kwa propaganda za kisiasa na kidini kama Ayatollah Khamenei.hakuna jungu dhidi ya Magufuli litakalowafanya wananchi wageuze msimamo
mhhh tutajua tukifika mwisho
Hapa mhe hakuwa fair kabisa.Kwani aliowafuta kazi hakuwakuta kwenye system wakiwa kazini? Wengne wamewatibu watu kwa miaka mingi na watu wamepona magonjwa yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa bleach alituambia atafuta madeni yote ya mkopo nikamchagua Mara moja kwanza kipindi kile chadema ilikua kwenye fire isingewezekana kuchagua mtu mwingine !!!