Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Wakati Magufuli anaingia madarakani nilimwambia mtu, Magufuli hawezi kutumia akili katika mambo ya kutumia akili lakini anaweza kutumia nguvu kwenye mambo yanayoweza kutumia nguvu.

Jana kanipigia kusema nimeiona sasa
 
..yaani na utu uzima wako hadi uelezwe na Magufuli kuvaa barakoa?!

Acha chuki zako za kishamba.
 
Magufuli kashindwa maarifa ya kuongoza nchi kwa mifano,

Watu wanahangamia yeye yupo busy na misimamo yake kwamba tusivae barakoa Hakuna Corona, jamani ameshindwa kuona kwamba watu wanakufa?

Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, nauliza Kama ameshindwa hekima ya kutengua kauli yake kwa watanzania na kuogopa fedheha alipaswa angalau asitamke ila AVAE BARAKOA TÜ KIMYA KIMYA WAKATI WA MAZISHI,


Kashindwa Sana Sana maeneo mengi

Britannica
Kibwetere style of manslaughter??
 
Magufuli kashindwa maarifa ya kuongoza nchi kwa mifano,

Watu wanahangamia yeye yupo busy na misimamo yake kwamba tusivae barakoa Hakuna Corona, jamani ameshindwa kuona kwamba watu wanakufa?

Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, nauliza Kama ameshindwa hekima ya kutengua kauli yake kwa watanzania na kuogopa fedheha alipaswa angalau asitamke ila AVAE BARAKOA TÜ KIMYA KIMYA WAKATI WA MAZISHI,


Kashindwa Sana Sana maeneo mengi

Britannica
Mmmmh. Mimi chichemi. Hongera Kikwete kwa kuonyesha nini raia wa nchi hii wafanye wakiwa kwenye mikusanyiko. "Action is louder than words".
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?

Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Swali fikirishi Mungu katupa akili je tumeshindwa kuzitumia vizuri
 
Magufuli kashindwa maarifa ya kuongoza nchi kwa mifano,

Watu wanahangamia yeye yupo busy na misimamo yake kwamba tusivae barakoa Hakuna Corona, jamani ameshindwa kuona kwamba watu wanakufa?

Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, nauliza Kama ameshindwa hekima ya kutengua kauli yake kwa watanzania na kuogopa fedheha alipaswa angalau asitamke ila AVAE BARAKOA TÜ KIMYA KIMYA WAKATI WA MAZISHI,


Kashindwa Sana Sana maeneo mengi

Britannica

Kimsingi huyu jamaa hakuwa na uwezo wa nafasi ya urais. Anaweza kwenye eneo la miundombinu tu, lakini hakustahili kuwa rais. Wapambe wake wanatumia vitisho na ghiliba kutushurutisha tuamini kuwa ni rais mzuri, lakini ukweli sio rais sahihi.
 
Ndalichako chukua huu uzi uingize kwenye Mtaala wa somo jipya la HISTORIA YA TANZANIA
 
Sahihi kwake ilitakiwa abakie kwenye kuhesabu kilometa za barabara huku amepwaya Sana, hawezi tuvusha, Hadi Sasa amegusa maslahi ya wachache huku wengi wakitopea kwenye ufukara.

Kabomoa jengo la Tanesco for nothing Hali daraja halijafika kule.
 
Mtawala na kiongozi ni watu wawili tofauti. Mmoja hutumia reasoning capacity na mwingine hutumia claiming capacity
 
Bad
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?

Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Vipi hujapaona tunapoelekea mpaka Sasa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom