Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibwetere style of manslaughter??Magufuli kashindwa maarifa ya kuongoza nchi kwa mifano,
Watu wanahangamia yeye yupo busy na misimamo yake kwamba tusivae barakoa Hakuna Corona, jamani ameshindwa kuona kwamba watu wanakufa?
Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, nauliza Kama ameshindwa hekima ya kutengua kauli yake kwa watanzania na kuogopa fedheha alipaswa angalau asitamke ila AVAE BARAKOA TÜ KIMYA KIMYA WAKATI WA MAZISHI,
Kashindwa Sana Sana maeneo mengi
Britannica
Mmmmh. Mimi chichemi. Hongera Kikwete kwa kuonyesha nini raia wa nchi hii wafanye wakiwa kwenye mikusanyiko. "Action is louder than words".Magufuli kashindwa maarifa ya kuongoza nchi kwa mifano,
Watu wanahangamia yeye yupo busy na misimamo yake kwamba tusivae barakoa Hakuna Corona, jamani ameshindwa kuona kwamba watu wanakufa?
Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, nauliza Kama ameshindwa hekima ya kutengua kauli yake kwa watanzania na kuogopa fedheha alipaswa angalau asitamke ila AVAE BARAKOA TÜ KIMYA KIMYA WAKATI WA MAZISHI,
Kashindwa Sana Sana maeneo mengi
Britannica
Swali fikirishi Mungu katupa akili je tumeshindwa kuzitumia vizuriMwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Magufuli kashindwa maarifa ya kuongoza nchi kwa mifano,
Watu wanahangamia yeye yupo busy na misimamo yake kwamba tusivae barakoa Hakuna Corona, jamani ameshindwa kuona kwamba watu wanakufa?
Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, nauliza Kama ameshindwa hekima ya kutengua kauli yake kwa watanzania na kuogopa fedheha alipaswa angalau asitamke ila AVAE BARAKOA TÜ KIMYA KIMYA WAKATI WA MAZISHI,
Kashindwa Sana Sana maeneo mengi
Britannica
Nyie mlikubaliana naye muende wapi?
Vipi hujapaona tunapoelekea mpaka Sasa?Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!