Andamana tu ukamatwe ugegedwe na kamanda siro akutoe nyege zako hizoMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Umeongea vema mimi ninavyoona ili kutunusuru kitu cha kwanza Tanganyika irudi alafu ifanyike referendum kama ZnZ wanataka muungano au la lakini kila nchi iwe kivyake laa sivyo tutaendelea kuteseka sijui mpaka lini kwani Muungano lazima?Kwa maslahi Mazima ya taifa hili nashauri mwaka 2025 tupate Raisi mwingine huyu Mama suluhu Hana sifa ya kuwa Rais wa nchi hii nauhakika anasaidiwa from Msoga Kwa sababu Hana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania.kwanza kaonesha udhaifu Kwa kuwaacha watu wazuri kwenye nafasi ya uwaziri na kuwapa nafasi wasio na uwezo pia vitu vimepanda bei wananchi wanalia,miradi zalieleweki kama zinaendelea au laa.Nashauri Kwa maslahi mapana ya nchi hii na Kwa mustakabali wa CCM mwaka 2025 tupate Rais Bora zaidi sio Rais anayefanya kazi Kwa mihemuko.zile Zama za ufisadi kama Enzi za kikwete zimerudi,zile Zama za kupata KAZI Kwa connection imerudi.zile Zama za mkubwa kumkagandiza mdogo zimerudi. Kuendeshea nchi hii sio lelemama nahisi huyu mama 2025 hatarudi. NB: Mimi sio waa timu yoyote lakini ni Mtanzania anayependa ustawi mzuri wa nchi Yake.
Jitangaze tu hupendi kuongozwa na mwanamke. Mama kakukosea nini?Kwa maslahi Mazima ya taifa hili nashauri mwaka 2025 tupate Raisi mwingine huyu Mama suluhu Hana sifa ya kuwa Rais wa nchi hii nauhakika anasaidiwa from Msoga Kwa sababu Hana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania.kwanza kaonesha udhaifu Kwa kuwaacha watu wazuri kwenye nafasi ya uwaziri na kuwapa nafasi wasio na uwezo pia vitu vimepanda bei wananchi wanalia,miradi zalieleweki kama zinaendelea au laa.Nashauri Kwa maslahi mapana ya nchi hii na Kwa mustakabali wa CCM mwaka 2025 tupate Rais Bora zaidi sio Rais anayefanya kazi Kwa mihemuko.zile Zama za ufisadi kama Enzi za kikwete zimerudi,zile Zama za kupata KAZI Kwa connection imerudi.zile Zama za mkubwa kumkagandiza mdogo zimerudi. Kuendeshea nchi hii sio lelemama nahisi huyu mama 2025 hatarudi. NB: Mimi sio waa timu yoyote lakini ni Mtanzania anayependa ustawi mzuri wa nchi Yake.
Jenista ni Waziri bogus ever.Watumishi tunaona una kila sababu ya kutawala milele mpaka useme baaaasi!! Ila sasa mama umetuletea mkosi "vuvuzela" sijui linaitwa Jenista!?? Hilo zigo mama kaa nalo huko hatulitaki huku utumishi,,,,,hilo ni jini litatunyonya damu mama,,,,,Tunakupenda sana ila hilo vuvuzela hapana!!! Tunafikiria uwe rais angalau miaka 23 endapo marekebisho ya katiba yatafanyika mapema.
Ndio anamsogeza sogeza ili baadae amtupe kabisaWatumishi tunaona una kila sababu ya kutawala milele mpaka useme baaaasi!! Ila sasa mama umetuletea mkosi "vuvuzela" sijui linaitwa Jenista!?? Hilo zigo mama kaa nalo huko hatulitaki huku utumishi,,,,,hilo ni jini litatunyonya damu mama,,,,,Tunakupenda sana ila hilo vuvuzela hapana!!! Tunafikiria uwe rais angalau miaka 23 endapo marekebisho ya katiba yatafanyika mapema.
Watumishi tunaona una kila sababu ya kutawala milele mpaka useme baaaasi!! Ila sasa mama umetuletea mkosi "vuvuzela" sijui linaitwa Jenista!?? Hilo zigo mama kaa nalo huko hatulitaki huku utumishi,,,,,hilo ni jini litatunyonya damu mama,,,,,Tunakupenda sana ila hilo vuvuzela hapana!!! Tunafikiria uwe rais angalau miaka 23 endapo marekebisho ya katiba yatafanyika mapema.
China moja hiioooo... hivi yule mdada Angela Kairuki aliishiaga wapi? Bado ni mbunge? Curious to know.