technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Samia shida yake kubwa anakosa Ile ruling power
Hana ushawishi wa kimamlaka
Rais lazima uchuje kila unachoambiwa sio kila ushauri ni ushauri mzuri
Unatakiwa uwe unpredictable ushauri mwingine unapiga chini
Pia Rais Bora ni yule anayesimama na wanachi hasa wa chini maana hao ndio wapiga kura
Mafisadi uwa hayapigi kura
Rais amefeli hapo amekumbatia kundi la wanyonyaji na kuuacha umma!!!
Hana ushawishi wa kimamlaka
Rais lazima uchuje kila unachoambiwa sio kila ushauri ni ushauri mzuri
Unatakiwa uwe unpredictable ushauri mwingine unapiga chini
Pia Rais Bora ni yule anayesimama na wanachi hasa wa chini maana hao ndio wapiga kura
Mafisadi uwa hayapigi kura
Rais amefeli hapo amekumbatia kundi la wanyonyaji na kuuacha umma!!!