Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kama Raisi Samia anashidwa kuendesha uchaguzi wa serikali za mitaa! Je anaweza nini hasa?
Magufuli tulilalamika sana kuhusu demokrasia lakini kuna mengine mengi mazuri alifanya ikiwa pamoja na rushwa kupungua. Huyu Mama kama anashidwa serikali za mitaa kama mtangulizi wake ameweza kipi hasa! maana alipata credit za majadiliano mwanzoni sasa haeleweki tamaa imemuingia
Anaweza haya
1. Kupiga vijembe
2 Kusafiri sana
3. Kupenda kutukuzwa
 
Kama Raisi Samia anashidwa kuendesha uchaguzi wa serikali za mitaa! Je anaweza nini hasa?
Magufuli tulilalamika sana kuhusu demokrasia lakini kuna mengine mengi mazuri alifanya ikiwa pamoja na rushwa kupungua. Huyu Mama kama anashidwa serikali za mitaa kama mtangulizi wake ameweza kipi hasa! maana alipata credit za majadiliano mwanzoni sasa haeleweki tamaa imemuingia
Uchaguzi Mkuu mwakani ndio kabisaa uchafuzi utakuwa zaidi.
 
Kama Raisi Samia anashidwa kuendesha uchaguzi wa serikali za mitaa! Je anaweza nini hasa?
Magufuli tulilalamika sana kuhusu demokrasia lakini kuna mengine mengi mazuri alifanya ikiwa pamoja na rushwa kupungua. Huyu Mama kama anashidwa serikali za mitaa kama mtangulizi wake ameweza kipi hasa! maana alipata credit za majadiliano mwanzoni sasa haeleweki tamaa imemuingia
Mtangulizi wake yeye aliweza uchaguzi wa serikali za mtaa?
 
Kila uchao utasikia sifa lukuki toka kwa machawa wakimsifia SSH, Utasikia mara kafanya hili mara lile. Utasikia kafanya miujiza ya kiuchumi wakati watanzania wanakabiliwa na maisha magumu kuliko wakati wowote. Je hizi sifa za kweli? Je watanzania wasio machawa wanampenda kweli? Je machawa wanampenda au kumponda? Uchaguzi mkuu umekaribia. Je unaridhika na SSH kuwa mgombea anayepita bila kupingwa? Hebu tuwe wakweli kwa nafsi zetu. SSH anapendwa au anapondwa?
 
Chawa wataachache kumsifu na kumpamba maana wanakula vyake..?

Kama ambavyo Mungu wa mbingu na nchi alivyo na watoto wake wanadamu, vivyo hivyo shetani naye ana watoto na wafuasi wake...

Utawatambuaje watoto wa shetani? JIBU ni utawambua kwa majina yao kama vile "Chawa", Panya Road nk na pia matendo yao; kuteka, kutesa na kuua....

Hawa, huyu mama yao hata awanyee uharo wa mavi midomoni mwao na kuwaamuru wameze uchafu wake huo, wataumeza uchafu huo huku wakimwagia sifa kemukem...!

Kwa hiyo, usiwashangae isipokuwa waelewe kisha endelea na maisha maana shetani ukomo na mwisho wake upo karibu...
 
Anapendwa Sema tuu Fedha anazoidhinisha Kwa ajili ya wananchi haswa wanyonge na miradi iwahusuyo haziwafikii. Hilo linamfarakanisha Sana na walalahoi. Ila yuko Njema Sana Rais Huyu.
 

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.



Hivi kwanini Mama kapoteza nafasi ya kuwa kiongozi mzuri na kuwa janga! Je ni ubinafsi pekee au!!
 
Baada ya kuongea na watu wengi wa mataifa tofauti ya Africa, Asia na America bila kumumunya maneno Raisi Samia hajatendea haki Tanzania kwenye demokrasia. Kuanzia katiba, chaguzi, na mwenendo wa kisiasa amtuletea dharau kubwa sana Watanzania kwa wenzetu. Yaani Samia wa 2022 alituheshimisha kuliko huyu wa sasa wa maslahi binafsi wa 2024. Lakini tumemjua Samia wa kweli na ni bahati mbaya sasa kuwa na huyu Mama kama kiongozi wetu. Tuombee nchi yetu
 
Watanzania wana chuki kubwa kwa Raisi Samia tofauti na 2021-2022 kutokana na sababu hizi

  1. Kushidwa kutetea seza zake za 4R hasa maridhiano
  2. Kushindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa
  3. Kushidwa kuzuia rushwa kubwa nchini
  4. Kushidwa kuongeza ufanisi wa serikali. Kubadilisha mifumo
  5. Kushidwa kuweka mikataba ya kitaifa wazi
  6. Kushidwa kubadilisha kutatua matatizo ya Ardhi
  7. Kuongezeka kwa utekaji
  8. Kuajiri marafiki na ndugu zake kwenye balozi, wizara na wamekuwa wakitumia nafasi zao kifisadi.
  9. Kushuka kwa nchi yetu kwenye list za haki za binadamu kitaifa
  10. Kutokuwa na mipango na mikakati mikubwa ya kitaifa.
 
Back
Top Bottom