Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
سوف تموت أولا🤣موتوا بغيضكم 😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
سوف تموت أولا🤣موتوا بغيضكم 😄😄
أسأل الله حسن الخاتم وأنت سوف تموت بغيضكسوف تموت أولا🤣
Sio hawezi bali ni kuhakikisha ccm inashinda nchi nzima kwa kumtumia mkwe wake.
She is a human being, makosa mengine sio yeye ni anakoseshwa na wasaidizi wake, naendelea kusisitiza Thread 'Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda' Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tumpe mudaKama Raisi Samia anashidwa kuendesha uchaguzi wa serikali za mitaa! Je anaweza nini hasa?
Magufuli tulilalamika sana kuhusu demokrasia lakini kuna mengine mengi mazuri alifanya ikiwa pamoja na rushwa kupungua. Huyu Mama kama anashidwa serikali za mitaa kama mtangulizi wake ameweza kipi hasa! maana alipata credit za majadiliano mwanzoni sasa haeleweki tamaa imemuingia
She is a human being, makosa mengine sio yeye ni anakoseshwa na wasaidizi wake, naendelea kusisitiza Thread 'Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda' Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tumpe muda
P
Najua unajua sio kila kinachofanyika wrongful ni Samia kafanya, kuna makosa kibao yanafanywa na wasaidizi wake, lakini kwa vile kila mtumishi wa umma anafanya kwa niaba yake, ni haki yeye kulaumiwa ila tumpe muda, mbona tuna muda tuu wa kutosha hadi October 2025.P,
Nafikiri wakati mwingine utamaduni wa kusameheana hivi ndiyo tatizo la nchi yetu. Utamaduni wa kubembeleza na kufikiria watu wenye nia mbaya wana nia nzuri imetufikisha pabaya.
Gentleman,Kama Raisi Samia anashidwa kuendesha uchaguzi wa serikali za mitaa! Je anaweza nini hasa?
Magufuli tulilalamika sana kuhusu demokrasia lakini kuna mengine mengi mazuri alifanya ikiwa pamoja na rushwa kupungua. Huyu Mama kama anashidwa serikali za mitaa kama mtangulizi wake ameweza kipi hasa! maana alipata credit za majadiliano mwanzoni sasa haeleweki tamaa imemuingia
